TAMASHA LA MITIKISIKO 2015 LAACHA HISTORIA MKOANI IRINGA
Msaani maarufu wa bongofleva, Linex akifanya vitu vyake katika uwanja wa Mlandege mjini Iringa juzi kwenye tamasha la muziki (Mtikisiko) lililoandaliwa na redio Ebony FM ya mjini Iringa kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi Tigo. Tamasha hilo hufanyika kila mwaka katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Msaani maarufu wa Hip hop,Darasa akifanya vitu vyake katika uwanja wa Mlandege mjini Iringa juzi kwenye tamasha la muziki (Mtikisiko) lililoandaliwa na redio Ebony FM ya mjini Iringa kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi26 Dec
PAMOJA NA MVUA KUBWA, TAMASHA LA KRISMAS LAACHA HISTORIA MJINI IRINGA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/124.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhrJz3oBmOL5CgxuF2i8aoVU5EgHMyIVZG2JsNksp-D1W32MGMAmFB*ZmTohVd7XQCHBQFzREZ67uV3qpUsT5G4/LINAHAKIIMBAMTIMAWANGUNAMMOJAWAMASHABIKIALIYEJITOKEZAKAMAAMINI.jpg?width=650)
TAMASHA LA FIESTA 2014 LAACHA GUMZO MKOANI MORO
11 years ago
CloudsFM17 Jul
LORI LAACHA NJIA LAGONGA NYUMBA LAUA WATANO PAPO HAPO,LAJERUHI WATATU IRINGA
AJALI mbaya ya gari im,etokea usiku wa leo mkoani Iringa baada ya lori la mizigo lenye namba za usajili T 801 ACD lililokuwa likielekea mkoani Mbeya kuacha njia na kugonga nyumba iliyokuwa ikitumiwa kama sehemu ya klabu cha kuuzia pombe za kienyeji na kusababisha vifo vya watu watano papop hapo wakiwemo watatu wa familia moja.
Tukio hilo limetokea majira ya saa 4 usiku wa leo katika eneo la njia panda ya makumbusho ya Isimila kata ya Mseke wilaya ya Iringa katika barabara kuu ya Iringa -...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3y0X6hEUSjvRwl3y3oA5C-m6TGtL*5P4M6iXKXGCk-N6YX0tILzaUhf1OorxcJgi3N*7Ny8q-x1T232YjVHnhwK/PWANIposter1.jpg?width=750)
9 years ago
MichuziTAMASHA LA 34 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA TAREHE 21-27, 2015, MJINI BAGAMOYO MKOANI PWANI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo05 Dec
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoYenlAftDFTvDP*VqNROFcxHrF7NEc4uwh1u0snl4f0QfhrAcJFYY0OKeZ54t4GPpzdvp2cvNAB5GFyQmudF5fr/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg?width=650)
10 years ago
GPL18 Dec