Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA MITIKISIKO YA PWANI KUFANYIKA DEC 13, 2014 DAR LIVE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DAR LIVE ILIVYORINDIMA NA MITIKISIKO YA PWANI JANA‏

Mkongwe wa muziki wa Taarab, Malkia Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki wa muziki huo waliofurika katika ukumbi wa Dar Live kwenye tamasha maalum la Taarab lililoandaliwa na kituo cha Redio ya Times FM na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania. Mwimbaji wa bendi ya Five Stars Modern Taarab, Ali Jay akikonga nyoyo za mashabiki waliofurika katika Tamasha la Muziki wa Taarab lililoandaliwa na… ...

 

11 years ago

GPL

DAR LIVE, VODACOM ZACHENGUA MASHABIKI KWA KISHINDO CHA MITIKISIKO YA PWANI

Mwimbaji wa bendi ya Super Shine, Queen Salma akifungua pazia la burudani. Nuru Moshi wa Super Shine akitoa burudani.…

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym kufanyika Septemba 6, 2014 uwanja wa mwenge, Dar es salaam

KLABU 12 za timu za soka za maveterani zinazooundwa na nyota wa zamani wa kandanda nchini zinatarajiwa kuchuana katika michezo maalum ya Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym, itakayofanyika Septemba 6 kwenye uwanja wa Mwenge, Dar es Salaam.Aidha zaidi ya klabu 30 za Jogging nazo zinatarajiwa kupamba tamasha hilo ambalo litahusisha pia michezo mbalimbali ikiwamo ya netiboli, kuvuta kamba, kukimbia kwenye magunia na kukimbiza kuku.Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo, Andrew Mangomango, klabu za...

 

11 years ago

Michuzi

PPF YAANDIKISHA WANACHAMA WAPYA KATIKA TAMASHA LA MWANAMKE NA AKIBA LINALOENDELEA KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA DAR LIVE

Mama Asha Bilali akimkabidhi Cheti Cha Udhamini kwa Meneja Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF katika tamasha la wanawake na akiba linaloendelea kufanyika Katika ukumbi wa Dar Live wilaya ya Temeke ,Jijini Dar Es Salaam. Meneja mahusiano na Masoko wa mfuko wa pensheni wa PPF Bi Lulu Mengele akitoa hotuba fupi kwa washiriki waliohudhuria tamasha la wanawake na akiba ambapo PPF ilishiriki ili kuweza kutoa elimu kwa Washiriki kuweza kujua umuhimu wa kuchangia na mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA 34 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA TAREHE 21-27, 2015, MJINI BAGAMOYO MKOANI PWANI

  Hapa Mwenyekiti wa Tamasha hilo, John Mponda (kulia) akisisitiza jambo kuhusu tamasha hilo. Kushoto ni Ofisa Habari wa Tamasha la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa). Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

Mtanzania

KHADIJA KOPA APANIA MITIKISIKO YA PWANI

12_0NA GODFREY MBANILE

MSANII wa miondoko ya Taarabu nchini Khadija Omar ‘Khadija Kopa’ amesema ana furaha kutimiza miaka 25 katika tasnia hiyo hivyo atawashukuru mashabiki wake kwenye tamasha la Mitikisiko ya Pwani litakalofika leo usiku katika Ukumbi wa Dar Live.

Akichonga na Swaggaz, Khadija alisema mashabiki wa muziki wa Taarabu waliopo jijini Dar es Salaam na vitongoji
vyake wajumuike naye ili washereherekee pamoja kwenye tamasha hilo kubwa la Taarabu nchini.

“Nashukuru kupata fursa hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani