Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym kufanyika Septemba 6, 2014 uwanja wa mwenge, Dar es salaam
KLABU 12 za timu za soka za maveterani zinazooundwa na nyota wa zamani wa kandanda nchini zinatarajiwa kuchuana katika michezo maalum ya Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym, itakayofanyika Septemba 6 kwenye uwanja wa Mwenge, Dar es Salaam.Aidha zaidi ya klabu 30 za Jogging nazo zinatarajiwa kupamba tamasha hilo ambalo litahusisha pia michezo mbalimbali ikiwamo ya netiboli, kuvuta kamba, kukimbia kwenye magunia na kukimbiza kuku.Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo, Andrew Mangomango, klabu za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziHOME GYM MWENGE YASHEREHEKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA
Washiriki wakiwa katika Jogging.
10 years ago
MichuziKlabu 12 za soka za maveterani kupamba Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym
Aidha zaidi ya klabu 30 za Jogging nazo zinatarajiwa kupamba tamasha hilo ambalo litahusisha pia michezo mbalimbali ikiwamo ya netiboli, kuvuta kamba, kukimbia kwenye magunia na kukimbiza kuku.
Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo, Andrew Mangomango, klabu za...
10 years ago
MichuziTAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 22-28-2014 WILAYANI BAGAMOYO
TAASISI ya sanaa na utamaduni Bagamoyo (TaSUba) imeanadaa tamasha la 33 lenye lengo la kukuza mila na desturi za watanzania.
Katika ...
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Bonanza la kituo cha Mazoezi cha Home Gym kusheherekea miaka 17, kufanyika leo Escape One
Mkufunzi wa mazoezi ya viungo akitoa mazoezi hayo kwa watu mbalimbali walijitokeza kwenye mazoezi ya viungo ilikuimalisha afya ya mwili. (Picha ya Maktaba kwa hisani ya PT Blog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Bonanza la maalum la kutimiza miaka 17 ya toka kuanzishwa kwa kituo cha michezo cha Home Gym, chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, linatalajia kuanza mapema asubuhi ya leo pale Mlimani City-Mwenge na kuishia Escape One ambapo kutakuwa na...
10 years ago
GPLTAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 22-28, 2014 WILAYANI BAGAMOYO
9 years ago
VijimamboUZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4, 2015 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo05 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXyDjTHfQYWxMr5ZwBK2pd00LoodPwAeWdSO5vPrzKpP51h3jQ9nDClAaLT9GYngzSmK9nRIWOEgPWJntAWK3bYK/3n.o.h3.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE UWANJA WA TAIFA DAR