Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHADIJA KOPA APANIA MITIKISIKO YA PWANI

12_0NA GODFREY MBANILE

MSANII wa miondoko ya Taarabu nchini Khadija Omar ‘Khadija Kopa’ amesema ana furaha kutimiza miaka 25 katika tasnia hiyo hivyo atawashukuru mashabiki wake kwenye tamasha la Mitikisiko ya Pwani litakalofika leo usiku katika Ukumbi wa Dar Live.

Akichonga na Swaggaz, Khadija alisema mashabiki wa muziki wa Taarabu waliopo jijini Dar es Salaam na vitongoji
vyake wajumuike naye ili washereherekee pamoja kwenye tamasha hilo kubwa la Taarabu nchini.

“Nashukuru kupata fursa hii...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI

 Khadija Kopa akilia kwa uchungu baada ya kukutana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye msiba wa kiongozi wa TOT na Mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-9

ILIPOISHIA..
Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
ENDELEA... Malkia wa mziki wa  taarabu, Khadija Omary kopa “Si kwamba ninaogopa, bado kuna mengi ninatakiwa kuyafanya,” nilimwambia.
“Kwani nikikuoa...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 5

ILIPOSHIA
Iliishia pale Khadija aliposema kwamba tayari alimaliza kufanya mtihani wa darasa la saba na hivyo kuelekea nyumbani. Huko, akamkuta mama yake, ilikuwa ni furaha mno kwani mapenzi juu ya mama yake yalikuwa makubwa.
ENDELEA.. Malkia wa…

 

11 years ago

GPL

MBOTO APAGAWISHWA NA KHADIJA KOPA

Stori: Musa Mateja KOMEDIANI maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ alijikuta akipagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa kiasi cha kushindwa kujizuia na kupanda jukwaani kuungana na wacheza shoo wake. Komedian maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ akiwa jukwaani mara baada ya kupagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA -6

ILIPOSHIA
“Kuna nini? aliniuliza huku akionekana kutokuelewa chochote.
“Nimefaulu mtihani”.“Unasemaje?”“Nimefaulu mtihani bibi,” nilimwambia kwa furaha, bibi akaonekana kuwa na furaha zaidi yangu. Sasa nikamsubiria mama naye nilitaka kumpa taarifa hiyo.ENDELEA.. Malkia wa mipasho bongo, Khadija Kopa Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na presha kubwa, nilikuwa nikimsubiria mama kwa shauku...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 6

ILIPOISHIA: Bado Khadija Kopa anaendelea kusimulia historia ya maisha yake, kule alipopitia mpaka kuja kuwa mwanamuziki mkubwa wa Muziki wa Mwambao. Wiki iliyopita tuliishia pale alipokuwa akisema namna alivyoingia shuleni na kuanza kidato cha kwanza. Yalikuwa ni maisha mapya lakini hakutaka kukata tamaa.endelea... Sikuwa nimezoea maisha ya shuleni hapo, nilikuwa mkimya sana na kwa kiasi fulani nilianza kunenepa. Hatukuwa na...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA

BAADA ya wiki iliyopita kumaliza simulizi tamu ya mwimba Injili mahiri nchini, Bahati Bukuku, wiki hii tunaye malkia wa mipasho Bongo. Si mwingine bali ni Hadija Omar Kopa. Kopa alizaliwa mwaka 1963, Unguja, Zanzibar. Maisha yake yalikuwa ya kawaida sana. Kwa sehemu kubwa alilelewa na bibi yake mzaa mama, aitwaye Biubwa Juma. Katika simulizi hii, Kopa anaanza kusimulia siku alipoanza daraza la kwanza. Malkia wa mipasho Bongo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani