Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu
Mahakama nchini India imewapata na hatia wanaume 12 kwa kuhusika na mashambulizi ya mabomu kwenye treni mjini Mumbai mwaka 2006
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Sep
Watu saba wahukumiwa kifo kwa ubakaji.
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya nzega imewahukumu kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward bunera ,shaaban amuru,john ndaki,pius shija ,aloyce zindoro ,davidi ndaki pamoja na frenk kabuche wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada kutiwa...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40
10 years ago
StarTV18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu nchini Yemen

Mahsmbulizi ya mabomu huko Sanaa
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.
Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na...
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu 20 wauawa kwenye mashambulio Nigeria
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watu 4 wahukumiwa kifo Saudi Arabia
9 years ago
StarTV01 Dec
Watu 8 wahukumiwa kifungo cha miaka 32 Nzega
Mahakama ya Hakimu mkazi wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imewahukumu watu wanane kwenda jela miaka 32 kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu Tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi Billion 4 katika mgodi wa dhahabu wa Resolute uliopo wilayani Nzega na wengine wanane wakiachiwa huru baada ya kuonekana hawana hatia.
Akitoa hukumu hiyo hakim mkazi wilaya Silyvester Kainda ameiambia mahakama hiyo kuwa washitakiwa Mawazo Saliboko ,Edward Bunera ,Shaaban Amuru,John Ndaki,Pius Shija ,ALoyce...