Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa za kusisimua misuli zaponza Watu 90

Zaidi ya Watu tisini wakamatwa wakijihusisha na boiashara ya Dawa za kusisismua misuli nchini Marekani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Farah:Sijatumia dawa za kusisimua misuli

Mo Farah anasema kuwa hajawahi kutumia dawa za kusisimua misuli ,baada ya madai ya utumizi wa dawa hizo kumkabili kocha wake Alberto Salazar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yakiri tatizo la dawa za kusisimua misuli

Riadha ya Urusi ina tatizo na utumizi wa dawa za kulevya,lakini marufuku ya kutoshiriki katika michezo ya Olimpiki itawaadhibu wanariadha wasiotumia dawa hizo kulingana na katibu mkuu wa shirikisho la riadha nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanaridha aliyekiri kusisimua misuli

Mwanariadha mkenya anayeshiriki mbio za kimataifa Matthew Kisorio afichua jinsi alivyotumia dawa za kuongeza nguvu

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana wakimbilia dawa za kutunisha misuli

>Pengine  ni katika harakati za kuutafuta utanashati  au  ukosefu wa ajira,  na huenda ikawa ni mtindo wa kimaisha kwa vijana wengi hapa nchini na duniani kote wanaotunisha misuli.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli

Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya magugu yauwa watu Nigeria

WHO yasema yafikiri dawa ya kuuwa magugu yauwa watu kadha Nigeria

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini baadhi ya watu mashuhuri hutumia dawa na kujidhuru ?

Kuna methali ya visiwani Haiti isemayo mtu mdogo hufanya analomudu ilihali mkubwa hufanya atakavyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Dawa ya Ebola ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko na damu ya watu-BBC


Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema dawa ya Ebola ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko na damu ya watu waliambukizwa na kisha kupona ugonjwa wa Ebola inatarajiwa kuanza kupatikana wiki chache zijazo huko Afrika Magharibi.

Afisa mwandamizi wa W.H.O. Dr Marie Paule Kieny amesema vifaa vimetolewa Liberia kwaajili ya kupata damu na vifaa vya kufanyia utafiti huo wa dawa ili kupata dawa Serum.

Dr Kieny akizungumza mjini Geneva amesema kuwa kazi ya mapambano dhidi ya Ebola harakati za...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu wenye ulemavu wa ngozi Manyoni waomba kusogezewa karibu dawa zakujikinga

SAM_0219

Jengo la ofisi ya Kijiji cha Kilimatinde,wilayani Manyoni mahali walipokuwa wakipokelea malipo ya fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini katika Kijiji hicho.

SAM_0220

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisubiri kwa hamu kuba malipo ya TASAF awamu ya tatu yaliyokuwa yakifanyika katika ofisi za kijiji hicho.

SAM_0224

baadhi ya waanchi wa Kijiji cha Sukamahela,tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya taratibu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani