Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanaridha aliyekiri kusisimua misuli

Mwanariadha mkenya anayeshiriki mbio za kimataifa Matthew Kisorio afichua jinsi alivyotumia dawa za kuongeza nguvu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Farah:Sijatumia dawa za kusisimua misuli

Mo Farah anasema kuwa hajawahi kutumia dawa za kusisimua misuli ,baada ya madai ya utumizi wa dawa hizo kumkabili kocha wake Alberto Salazar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Dawa za kusisimua misuli zaponza Watu 90

Zaidi ya Watu tisini wakamatwa wakijihusisha na boiashara ya Dawa za kusisismua misuli nchini Marekani

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yakiri tatizo la dawa za kusisimua misuli

Riadha ya Urusi ina tatizo na utumizi wa dawa za kulevya,lakini marufuku ya kutoshiriki katika michezo ya Olimpiki itawaadhibu wanariadha wasiotumia dawa hizo kulingana na katibu mkuu wa shirikisho la riadha nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli

Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ndingi Mwana a'Nzeki: Askofu aliyekiri kusema uongo mara moja azikwa Kenya

Askofu Ndingi Mwana a'Nzeki, ambaye amefariki akiwa na miaka 89 amezikwa leo Jumanne jijini Nairobi baada ya kuishi maisha marefu yenye kumbukumbu tele ikiwemo za kupambania haki na Amani nchini Kenya.

 

10 years ago

Mwananchi

Simulizi za kusisimua shule zilizotamba matokeo kidato cha nne

>Ni mafanikio juu ya mafanikio. Ndivyo unavyoweza kuelezea matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari kwa baadhi ya shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne juzi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu ya Kusisimua Kuhusu Mauaji ya Albino "Firigisi" , Sasa Iko Jikoni

Filamu ya kusisimua inayohusu ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino) inatarajia kuzinduliwa mwezi April Mwaka huu.Filamu hiyo iliyopewa jina la “FIRIGISI” imefanywa na wasanii kutoka mkoa wa Shinyanga( Bongo Movie Shinyanga) na msanii Denice Sweya maarufu Dino kutoka Bongo Movie Dar es salaam.

Dino ameigiza na kuongoza Filamu hiyo ambayo imebeba maudhui kuhusu Ukatili wanaofanyiwa watu wenye Albinism nchini Tanzania huku watu mbalimbali wakitajwa kuhusika katika ukatili huo wakiwemo...

 

10 years ago

Mwananchi

Vinywaji vya kusisimua akili, kutia mwili nguvu, vina athari za kiafya

Wengine, hasa madereva, hupenda kutumia vinywaji hivi ili kuondoa uchovu na kuwafanya wasipate usingizi. Hufanya hivyo ili wasisinzie na kusababisha wasababishe ajali.

 

10 years ago

Michuzi

mjue James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua aliyefanya wengi wapende kusoma vitabu

Na Sultani Kipingo


Wengi tumesoma  vitabu vya James Hadley Chase,  mwandishi wa riwaya za kusisimua  maarufu sana wa Uingereza, hasa wakati tukipambana na kujua lugha ya Kiingereza wakati wa shule kidato cha kwanza hadi cha nne, na hata high school.Nadhani kwa hili hata Profesa Mbele ataniunga mkono ninaposema kuwa utamaduni wa kupenda kusoma huanzia kwenye kuwepo kwa vitabu vya kusisimua kama vya Chase. Na wengi tuliua ndege wawili kwa jiwe moja – yaani kupenda kusoma na pia kujifunza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani