Filamu ya Kusisimua Kuhusu Mauaji ya Albino "Firigisi" , Sasa Iko Jikoni
Filamu ya kusisimua inayohusu ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino) inatarajia kuzinduliwa mwezi April Mwaka huu.Filamu hiyo iliyopewa jina la “FIRIGISI” imefanywa na wasanii kutoka mkoa wa Shinyanga( Bongo Movie Shinyanga) na msanii Denice Sweya maarufu Dino kutoka Bongo Movie Dar es salaam.
Dino ameigiza na kuongoza Filamu hiyo ambayo imebeba maudhui kuhusu Ukatili wanaofanyiwa watu wenye Albinism nchini Tanzania huku watu mbalimbali wakitajwa kuhusika katika ukatili huo wakiwemo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Filamu kupinga mauaji ya albino kuandaliwa
NA JOHN MADUHU, MWANZA
WAIGIZAJI wa filamu nchini, wanatarajia kuungana katika filamu moja itakayokuwa ikipinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Mwigizaji Jacob Steven ‘JB’, alizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, wakati wa kongamano la amani lililoandaliwa na maaskofu na masheikh wa Mkoa wa Mwanza.
JB ambaye alikuwa ameongozana na wasanii wengine kama Mzee Majuto na Mrisho Mpoto, alisema mchakato wa kuandaa filamu hiyo umeanza.
“Tumeguswa na mauaji ya walemavu wa ngozi,...
10 years ago
Bongo Movies18 May
Filamu ya 'Sio Dili' Inayoongelea Tatizo la Mauaji ya Albino Kuingia Sokoni
Kampuni ya K Films Production ya jijini Dar es Salaam inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua ya Sio Dili inayoongelea tatizo la mauaju ya Albino Tanzania ambayo yanatikisa nchi nzima, akiongea na FC amesema kuwa sinema hiyo ni funzo.
“Filamu ya Sio Dili ni kazi yangu katika harakati za kupambana na mauaji ya Albino ambayo yanahusisha imani ya kishirikina ni kazi nzuri inayoelimisha jamii kuachana na imani potofu,”anasema Kinye Mkali.
Sinema hiyo inawashirikisha wasanii nyota kama...
10 years ago
GPL20 Feb
10 years ago
MichuziWaTanzania wa Houston Texas kurekodi kipindi kuhusu mauaji ya Albino Tanzania
Kipindi kitarekodiwa siku ya Jumampili saa 8 mchana (2pm) mahali ni Extended Stay America chumba namba 224 anuani ni 2424 West...
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X1gMPQaP030/Xo3besFAvdI/AAAAAAALmi4/0-iwxEZsSQMKxQ5LVbrGz4-oiy_9qRAhwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-08%2Bat%2B5.05.07%2BPM.jpeg)
LIGI KUBWA KABISA ZIMEREJEA HAPA MERIDIANBET–MUENDELEZO WA KUSISIMUA WA MSIMU WA SOKA, SASA MTANDAONI!
![](https://1.bp.blogspot.com/-X1gMPQaP030/Xo3besFAvdI/AAAAAAALmi4/0-iwxEZsSQMKxQ5LVbrGz4-oiy_9qRAhwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-08%2Bat%2B5.05.07%2BPM.jpeg)
Sasa Unaweza kufurahia ligi kubwa zaidi za soka barani Ulaya na tumekuwekea Odds kubwa kwa ajili yako mtandaoni.
Sherehe za soka zinaendelea kama kawaida na unaweza kubashiri mechi zilizosalia za msimu huu kwa namna nyingine.
Mechi zipo katika mpangilio ule ule ambao mechi za kawaida zilipaswa kuchezwa, tarehe zile zile, siku zile zile za wiki ambazo unazijua na kuzipenda, ni kazi kwako kufurahia mchezo unaoupenda mtandaoni ukiwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QusxwpphOX4/VYFJZ5VTjdI/AAAAAAAHgZU/d-mClUHTM6w/s72-c/index.jpg)
WIZARA YA HABARI YAKAMILISHA UBORESHAJI TOVUTI YA WANANCHI, SASA IKO HEWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-QusxwpphOX4/VYFJZ5VTjdI/AAAAAAAHgZU/d-mClUHTM6w/s1600/index.jpg)
“Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari- MAELEZO, imekamilisha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8RTNHDqzeAE/VJyMrgmLgTI/AAAAAAAG5zw/Thyr01D0fx8/s72-c/1%2B(2).jpg)
FRORA MBASHA: DVD MPYA YA NIPE NGUVU YA KUSHIDA SASA IKO MADUKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8RTNHDqzeAE/VJyMrgmLgTI/AAAAAAAG5zw/Thyr01D0fx8/s1600/1%2B(2).jpg)