Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIGI KUBWA KABISA ZIMEREJEA HAPA MERIDIANBET–MUENDELEZO WA KUSISIMUA WA MSIMU WA SOKA, SASA MTANDAONI!

Mpira umerejea tena, mechi zinaendelea hapa Meridianbet!

Sasa Unaweza kufurahia ligi kubwa zaidi za soka barani Ulaya na tumekuwekea Odds kubwa kwa ajili yako mtandaoni. 
Sherehe za soka zinaendelea kama kawaida na unaweza kubashiri mechi zilizosalia za msimu huu kwa namna nyingine. 
Mechi zipo katika mpangilio ule ule ambao mechi za kawaida zilipaswa kuchezwa, tarehe zile zile, siku zile zile za wiki ambazo unazijua na kuzipenda, ni kazi kwako kufurahia mchezo unaoupenda mtandaoni ukiwa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tazama hapa ratiba ya soka ya ligi kubwa barani Ulaya leo Jumamosi, Januari 2

maxresdefault

Na Rabi Hume, Modewjiblog Baada ya kusherekea mwaka mpya hapo jana, leo Jumamosi ligi ya Uingereza na Hispania zinatarajiwa kuendelea kwa michezo kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, blog yako bora ya habari Modewjiblog imekuandalia ratiba kamili ya michezo hiyo: UINGEREZA – PREMIER LEAGUE West Ham United – Liverpool 15:45 EAT Arsenal – Newcastle United 18:00 EAT Leicester City – AFC Bournemouth 18:00 EAT Manchester United – Swansea City 18:00 EAT Norwich – Southmpton 18:00...

 

9 years ago

Mwananchi

Tuiheshimu ligi yetu ya soka msimu huu

Mbio za kusaka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zinaanza, Septemba 12 na 13 kwa timu zote 16 kuumana kwenye viwanja tofauti.

 

9 years ago

MillardAyo

Usiku wa Dec 21 Ozil kaweka rekodi hii, hakuna mchezaji yoyote wa Ligi 5 kubwa Ulaya aliyeifikia msimu huu …

Usiku wa December 21 klabu ya Arsenal inayofundishwa na kocha wa kifaransa Arsene Wenger iliingia katika headlines za ushindi baada ya kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Manchester City katika dimba la Emirates. Magoli ya Arsenal yalifungwa na Theo Walcott na Oliver Giroud, ila stori kubwa haikuwa ushindi wa Arsenal. Kwani katika mitandao […]

The post Usiku wa Dec 21 Ozil kaweka rekodi hii, hakuna mchezaji yoyote wa Ligi 5 kubwa Ulaya aliyeifikia msimu huu … appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu

Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.

 

"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke  nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu ya Kusisimua Kuhusu Mauaji ya Albino "Firigisi" , Sasa Iko Jikoni

Filamu ya kusisimua inayohusu ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino) inatarajia kuzinduliwa mwezi April Mwaka huu.Filamu hiyo iliyopewa jina la “FIRIGISI” imefanywa na wasanii kutoka mkoa wa Shinyanga( Bongo Movie Shinyanga) na msanii Denice Sweya maarufu Dino kutoka Bongo Movie Dar es salaam.

Dino ameigiza na kuongoza Filamu hiyo ambayo imebeba maudhui kuhusu Ukatili wanaofanyiwa watu wenye Albinism nchini Tanzania huku watu mbalimbali wakitajwa kuhusika katika ukatili huo wakiwemo...

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA KWA SIKU 66, SASA TUKUTANE TENA KWA MKAPA,UHURU NA CHAMAZI...TULILIMISI SOKA LETU BHANA

Na Zainab Nyamka,Michuzi TV

ZIKIWA zimetimia Siku 66 toka kusimamishwa kwa Michezo mbalimbali ikiwemo soka sasa inatarajiwa kuanza mapema Mwezi Juni wadau wameendelea kujiuliza je Viwango vya wachezaji vitarejea kama awali.

Ikumbukwe kuwa Shughuli zote za kijamii ikiwemo mikusanyiko ilisimamishwa  na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani