BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA KWA SIKU 66, SASA TUKUTANE TENA KWA MKAPA,UHURU NA CHAMAZI...TULILIMISI SOKA LETU BHANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fO-4U_teXWE/XsizJlEi4OI/AAAAAAALrWg/A5M-MoH9hvsWI_wEovi04f5qTz5AQGf-wCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bsimba.jpg)
Na Zainab Nyamka,Michuzi TV
ZIKIWA zimetimia Siku 66 toka kusimamishwa kwa Michezo mbalimbali ikiwemo soka sasa inatarajiwa kuanza mapema Mwezi Juni wadau wameendelea kujiuliza je Viwango vya wachezaji vitarejea kama awali.
Ikumbukwe kuwa Shughuli zote za kijamii ikiwemo mikusanyiko ilisimamishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.
Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi
Ikiwa ni zaidi ya wiki moja toka mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta itangazwa kauwawa kwa risasi, December 28 mitandao mingi ya Ulaya imeripoti kifo cha staa mwingine wa soka aliyeuwawa kwa kupigwa risasi. December 27 aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco ameuawa kwa kupigwa na risasi wakati akiwa […]
The post Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi appeared first on...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Mahaba ya TFF kwa Yanga na hatma ya soka letu
MAFANIKIO ya Soka la Tanzania yanategemea sana nidhamu, juhudi na moyo wa dhati wa kujitoa kwa wa
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Baada ya kuapishwa Rais, sasa tutafakari juu ya hekalu la Taifa letu la Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwkcbiaf7n95HdChjZ5-u7aZbPiIhzWY5*6DUIN1Eg-l3rKHU6MWaqqXKJbDu26rOr9azJyiYP0jjCx80291GBu/001.KITS.jpg?width=650)
VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Ratiba ya ligi iheshimiwe kwa ustawi wa soka
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Mateso ya Yanga, Simba SC Ligi Kuu ndio uhai wa soka
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kitaanza Septemba 20, kwa miamba 14 kuanza vita ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo huku timu kongwe za Simba na Yanga zikiwa na kazi...
10 years ago
Mwananchi23 Feb
MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
10 years ago
Michuzi26 Sep