WIZARA YA HABARI YAKAMILISHA UBORESHAJI TOVUTI YA WANANCHI, SASA IKO HEWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-QusxwpphOX4/VYFJZ5VTjdI/AAAAAAAHgZU/d-mClUHTM6w/s72-c/index.jpg)
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari- MAELEZO, imekamilisha kazi ya kuboresha Tovuti ya Wananchi na sasa iko hewani. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Wizara hiyo, Mkurugenzi wa MAELEZO Assah Mwambene,(Pichani) aliwataka wananchi kuitumia tovuti hiyo kupitia anuani ya www.wananchi.go.tz kuwasilisha hoja zao Serikalini ili ziweze kupatiwa majibu .
“Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari- MAELEZO, imekamilisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Blog mpya ya siasa iko hewani
KWA MATUKIO MBALIMBALI YANAYOHUSU MASUALA YA SIASA ZIKIWEMO HABARI MAKALA FUPIFUPI, VITUKO, KUJIFAGILIA NA UWAJIBIKAJI WA WANASIASA KWA JAMII TEMBELEA www.politikstz.blogspot.com ILI UPATE KUJUA, KUELIMIKA NA KUBURUDIKA. PIA UNAWEZA KUTUTUMIA HABARI, MATUKIO YA PICHA NA MAKALA FUPIFUPI LAKINI ZISIWE HABARI ZA KUCHAFUA HALI YA HEWA AMA KUMCHAFUA MTU TUTUMIE KWA EMAIL HII .politikstz@gmail.comTUTASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/A8oL4iBA570/default.jpg)
Webisode Mpya ya Ubongo Kids Iko Hewani!
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO AFANYA USAFI NA WANANCHI WA UPANGA MASHARIKI
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel aliyeshika koleo akishiriki zoezi la usafi na wananchi wa Kata ya Upanga mashariki ikiwa ni kuitikia wito wa
kutikia agizo la Mh. Rais John Pombe Magufuli la kufanya usafi siku ya Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania .
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel aliyeshika toroli akishiriki zoezi la usafi na wananchi wa Kata ya Upanga mashariki ikiwa ni...
11 years ago
Michuzi06 Jul
Michuzi TV IPO HEWANI...JIUNGE SASA - You'll love it!
JIUNGE HARAKA UPATE MAMBO MOTOMTO!!TUNAANZIA NA WATEJA WA VODACOM, AMBAO WANAKARIBISHWA KUPIGA *149*01# KISHA CHAGUA NAMBA 4 SIMU.tv (MPYA) HALAFU NENDA NAMBA 1. Habari (BURE), BAADA YA HAPO CHAGUA NAMBA 5 Michuzi TV (BURE) KISHA KUBALI...UNAKUWA UMESHAJISAJILI KWA HUDUMA HII MPYA. LIBENEKE OYE!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EbcPeaoG4_Y/TkL-3xhjT2I/AAAAAAAALu4/-Ipk7c35xLY/s72-c/vijimambo.png)
VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EbcPeaoG4_Y/TkL-3xhjT2I/AAAAAAAALu4/-Ipk7c35xLY/s640/vijimambo.png)
Toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na
VIJIMAMBO RADIO
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Wakati wako sasa kuanzisha tovuti, blogu
10 years ago
Michuzi24 Nov
WEKA DAU hewani (Online) sasa na M-Bet ndani ya Tanzania
![Imagen M-bet](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/4kcnhTxytHtB4aqSx1zTCM2hQml_hQ4hS8izFM2Z5Ta2F8-CkoAdprZNauUXo4f5iqeDWYNxb3d8t_9bGq0PLPhEqm2mrsej5qiOrWxu02LWmnxe2THAaM6nW_nvy9Sh_6k1PzKIqXEvgVk71TJFevndnGt7F0Ij0cYYrCI=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/484c35c66ff5b225e0f288e33/images/8ca81e49-2cd9-4e17-99a5-7a2636f517a5.jpg)
![logotipo M-Bet](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/7yYN-hH8RLquPcQ_sa1qS8UFJ3WD2PtI4hZxcjpwz4HlP4RA96HCHGPSsaQ4WueUpddBU8_Xkrh9cV8zhZE7reyd9PrY7vMQhZzJbhfB613YtJmnRQVrIKkegPjU4wb__wygroLD0EB7CJVmMKUTQ_RA6dsZyarLjMABCU0=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/484c35c66ff5b225e0f288e33/images/0b7ecee3-c894-4212-908d-d3e31751c087.jpg)
![Boton](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/LH0Mgvcn9CRBtl1RHBNxHYfPeJnpQCm9pk6Zh72KMSxMZZ5TU1z2Yr1jIzWEK9HYNd-0TWg1_-5ybtB9Nes2TBzbbzmDtaZffUHhFoYmVGTjaqPIyKS-N0xvJfKo5JUs_2m3bO6NdtGr8djPTOSgmy8MvmqDGfxyhh7l7us=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/484c35c66ff5b225e0f288e33/images/f953d575-0635-4e8e-8cff-b321f4b33add.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
10 years ago
Habarileo23 Sep
Uboreshaji wa Daftari la Wapigakura sasa mwakani
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema uboreshaji wa Daftari la Wapigakura umechelewa kuanza kutokana na kuchelewa kuagiza vifaa vya kufanya kazi hiyo kwa wakati, hivyo kazi hiyo sasa itafanyika mapema mwakani.