Uboreshaji wa Daftari la Wapigakura sasa mwakani
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema uboreshaji wa Daftari la Wapigakura umechelewa kuanza kutokana na kuchelewa kuagiza vifaa vya kufanya kazi hiyo kwa wakati, hivyo kazi hiyo sasa itafanyika mapema mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Sep
Daftari la Wapigakura kuboreshwa mwakani
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema uboreshaji wa Daftari la Wapigakura umechelewa kuanza kutokana na kuchelewa kuagiza vifaa vya kufanya kazi hiyo kwa wakati, hivyo kazi hiyo sasa itafanyika mapema mwakani.
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Nguvu zielekezwe uboreshaji daftari la wapigakura na sheria
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) pamoja na sheria ya uchaguzi ni miongoni mwa vyombo muhimu vinavyoweza kusababisha matokeo ya uchaguzi kukubalika au kulalamikiwa kimazingira kuwa hayakuwa ya huru na...
11 years ago
Mwananchi29 May
NEC, Upinzani wakinzana kuhusu uboreshaji wa daftari la wapigakura
10 years ago
Habarileo10 Feb
Daftari la wapigakura sasa rasmi wiki ijayo
SASA ni rasmi kwamba kazi ya kuliboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura nchini kote, itaanza Jumatatu ijayo Februari 16 na kumalizika Aprili 29 mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa
10 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yaonya daftari la wapigakura
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) William Lukuvi, ameonesha kutoridhishwa na utaratibu mbovu unaotumika kuandikisha wananchi katika daftari la kudumu la wapiga kura, kutokana na kuwa na mianya inayoweza kuingiza wasio raia wa Tanzania.
10 years ago
Habarileo03 May
RC ahimiza kujiandikisha daftari la wapigakura
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe amewahimiza wananchi wenye sifa wakiwemo wafanyakazi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa
9 years ago
Habarileo16 Oct
Chadema yazungumzia daftari la wapigakura
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua hatua za haraka kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.