RC ahimiza kujiandikisha daftari la wapigakura
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe amewahimiza wananchi wenye sifa wakiwemo wafanyakazi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Jul
Watanzania wahimizwa kujiandikisha daftari la wapigakura
WATANZANIA wametakiwa kudumisha amani na utulivu na kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura pindi Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) itakapoanza kuboresha daftari hilo.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Adaiwa kujiandikisha mara mbili Daftari la Wapigakura
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s72-c/M%2B1.jpg)
WANANCHI JIJINI ARUSHA WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s640/M%2B1.jpg)
Wakazi wa Kata ya Osunyai jijini Arusha wakinawa mikono kujikinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona kabla ya kuingia kwenye vyumba kujiaandikisha na kubadilisha taarifa zao katika mpango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kuboresha daftari la kudumu la wapigakura katika mikoa 12 ya mwanzo kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3326QnCiu4Y/XpsVroUR1BI/AAAAAAAAMyY/oFx3zF0u588DXJdRrA8UfakxW5e22-6swCLcBGAsYHQ/s640/M%2B2.jpg)
Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi Arusha Mjini,Dk Maulid Madeni akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa uandikishaji wapigakura jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PnKYUQQqml0/XpsVv-ZFSuI/AAAAAAAAMyg/Y7he80nsK3MwSG3zLeM_Xc54ATxPMANPACLcBGAsYHQ/s640/M%2B3.jpg)
Wananchi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1XzvtmNyzag/VU8954o1o-I/AAAAAAAAAeQ/9pAVSebXWSI/s72-c/_MG_2501.jpg)
MAALIM SEIF AHIMIZA WAZANZIBAR KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Maalim Seif Sharif Hamad ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF),amesema kuwa uchaguzi mkuu uliopita ulikuwa wa uhuru na wa amani lakini ulikuwa na kasoro katika daftari la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s72-c/Sisti-10June2015.jpg)
150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s400/Sisti-10June2015.jpg)
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...
10 years ago
VijimamboMTANGAZA NIA YA UBUNGE JIMBO LA KAWE KUPITIA CCM, WAKILI ELIAS NAWERA AHIMIZA VIJANA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa
10 years ago
Habarileo23 Sep
Daftari la Wapigakura kuboreshwa mwakani
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema uboreshaji wa Daftari la Wapigakura umechelewa kuanza kutokana na kuchelewa kuagiza vifaa vya kufanya kazi hiyo kwa wakati, hivyo kazi hiyo sasa itafanyika mapema mwakani.
9 years ago
Habarileo16 Oct
Chadema yazungumzia daftari la wapigakura
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua hatua za haraka kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.