Adaiwa kujiandikisha mara mbili Daftari la Wapigakura
Mbeya. Mkazi wa Kijiji cha Mpandapanda Kata ya Kiwira wilayani Rungwe, anahojiwa na vyombo vya usalama kwa tuhuma za kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s72-c/Sisti-10June2015.jpg)
150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s400/Sisti-10June2015.jpg)
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...
10 years ago
Habarileo03 May
RC ahimiza kujiandikisha daftari la wapigakura
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe amewahimiza wananchi wenye sifa wakiwemo wafanyakazi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
11 years ago
Habarileo12 Jul
Watanzania wahimizwa kujiandikisha daftari la wapigakura
WATANZANIA wametakiwa kudumisha amani na utulivu na kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura pindi Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) itakapoanza kuboresha daftari hilo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s72-c/M%2B1.jpg)
WANANCHI JIJINI ARUSHA WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s640/M%2B1.jpg)
Wakazi wa Kata ya Osunyai jijini Arusha wakinawa mikono kujikinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona kabla ya kuingia kwenye vyumba kujiaandikisha na kubadilisha taarifa zao katika mpango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kuboresha daftari la kudumu la wapigakura katika mikoa 12 ya mwanzo kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3326QnCiu4Y/XpsVroUR1BI/AAAAAAAAMyY/oFx3zF0u588DXJdRrA8UfakxW5e22-6swCLcBGAsYHQ/s640/M%2B2.jpg)
Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi Arusha Mjini,Dk Maulid Madeni akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa uandikishaji wapigakura jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PnKYUQQqml0/XpsVv-ZFSuI/AAAAAAAAMyg/Y7he80nsK3MwSG3zLeM_Xc54ATxPMANPACLcBGAsYHQ/s640/M%2B3.jpg)
Wananchi...
10 years ago
Habarileo10 Jun
150 kortini kwa kujiandikisha mara mbili BVR
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema watu 152 watafikishwa mahakamani mkoani Njombe kutokana na kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo mpya wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ (BVR).
10 years ago
Mtanzania10 Jun
152 mbaroni kwa kujiandikisha mara mbili BVR
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, limewatia mbaroni watu 152 wa Mkoa wa Njombe kwa tuhuma za kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa elektroniki (BVR).
Akizungumza jana na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa NEC, Dk. Sisti Cariah, alisema watuhumiwa hao walinaswa kupitia vifaa maalumu na watashtakiwa kwa kosa la jinai ili iwe fundisho kwa wengine.
Alisema mfumo mpya wa BVR...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Watu 100 matatani kujiandikisha mara mbili kupiga kura
9 years ago
VijimamboNEC YAKABIDHI POLISI MAJINA YA WATU 52,078 WALIOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MBILI KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa