Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEKA DAU hewani (Online) sasa na M-Bet ndani ya Tanzania


Imagen M-betlogotipo M-BetBETI HEWANI (ONLINE) SASA NA M-BET NDANI YA TANZANIAwww.m-bet.co.tzFurahia mpira na ushinde pesa kwa Tuvuti (Website) mpya ya M-Bet.Fungua akaunti ya M-Bet na upate kubeti bure.Kulipa na Mpesa , na Tigo pesa ita kuja hivi karibuni.Boton

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Michuzi TV IPO HEWANI...JIUNGE SASA - You'll love it!

NDUGU MDAU MICHUZI TV SASA IPO HEWANI. 
JIUNGE HARAKA UPATE MAMBO MOTOMTO!!TUNAANZIA  NA WATEJA WA VODACOM, AMBAO WANAKARIBISHWA KUPIGA  *149*01#  KISHA CHAGUA NAMBA 4 SIMU.tv (MPYA) HALAFU NENDA  NAMBA 1. Habari (BURE), BAADA YA HAPO CHAGUA NAMBA 5 Michuzi TV (BURE) KISHA KUBALI...UNAKUWA UMESHAJISAJILI KWA HUDUMA HII MPYA. LIBENEKE OYE!

 

11 years ago

Michuzi

VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO

Timu yaVijimambo inapenda kuwatangazia wadau wake kwa sasa imeanzisha VIJIMMBO RADIO ambayo ipo hewani sasa hivi kwa majaribio kwa hiyo kama utapata nafasi naomba uisikilize kupitia www.vijimamboradio.com 
Toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na 
VIJIMAMBO RADIO

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA HABARI YAKAMILISHA UBORESHAJI TOVUTI YA WANANCHI, SASA IKO HEWANI


WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari- MAELEZO, imekamilisha kazi ya kuboresha Tovuti ya Wananchi na sasa iko hewani. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Wizara hiyo, Mkurugenzi wa MAELEZO Assah Mwambene,(Pichani) aliwataka wananchi kuitumia tovuti hiyo kupitia anuani ya www.wananchi.go.tz kuwasilisha hoja zao Serikalini ili ziweze kupatiwa majibu .
“Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari- MAELEZO, imekamilisha...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA BET RED CARPET NA BEHIND THE SCENE

Diamond Platnumz akipita kwenye Red Carpet ya BET mbele ya mapaparazi zaidi ya 200. Mwanamuziki huyu alionekana kuwavutia watu wengi na suti yake iliyokuwa imemkaa kisawasawa ambayo Waingereza wanasema  "Well Tailored Suit" By Designer Sheria Ngowi . Mapaparazi zaidi ya 200 walichukua every step and moments za Red Carpet wakati Diamond akipita.… ...

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND MPAKA SASA AONGOZA KURA ZA BET KWA KUNDI LA WASANII WA AFRIKA

Msanii Nasibu Abdul alias 'Diamond Platnumz' kwa sasa anakimbiza katika mchakato wa upigaji kura katika Tuzo za BET 2014 ambapo mpaka saa 10:55 leo jioni alikuwa anaongoza katika kundi lake akiwa na asilimia 75.79 ya kura zote akifuatiwa na Mafikizolo wenye kura asilimia 8.34. na wengine kama jedwali linavyoonesha hapo chini. Tuzo hizo zitatolewa Juni 29 mwaka huu jijini Los Angeles, Marekani.   KUMPIGIA KURA DIAMOND , BOFYA HAPA Kisha telemka chini hadi utapokuta "BEST INTERNATIONAL ACT:...

 

5 years ago

Michuzi

HADI SASA TUMEWEZA KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA NDANI KWA NDANI YA CORONA-WAZIRI UMMY

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto, Ummy Mwalimu, akieleza jambo, wakati akiongea na Waandishi wa Habari juu ya mwenendo wa ugonjwa wa Corona (COVID-19) Jijini Dodoma.



Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula wakifuatilia neno kutoka kwa Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu (hayupo kwenye picha, wakati akiongea na Waandishi wa Habari juu ya mwenendo wa ugonjwa wa Corona...

 

10 years ago

GPL

PAM D NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Host wa Global TV Online, Mourad Alfah (kushoto) akifanya mahojiano na Pam D katika kipindi cha Mtu Kati cha Global TV. Pamela Daffa 'Pam D' akiongea jambo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani