DMV ALL STAR - ULE WIMBO WA "NAJIVUNIA "SASA KUPIGWA RADIO ZOTE TANZANIA NA ONLINE KUANZIA MARCH 15 !
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Bongo518 Dec
‘Coco Baby’ ya Waje ft. Diamond ndio wimbo unaoongoza kuombwa zaidi kwenye Radio nchini Nigeria kwa sasa — Star Fm
Collabo ya msanii wa kike wa Nigeria Waje na staa wa Bongo, Diamond Platnumz imeonekana kuwa na mapokeo mazuri zaidi nchini Nigeria. Kwa mujibu wa kituo cha radio Star Fm 91.5 Ibadan, ‘Coco Baby’ ndio wimbo unaoongoza kwa kuombwa zaidi na wasikilizaji nchini Nigeria kwa sasa. Diamond alipost tweet ya kituo hicho na kuandika: “S/O […]
10 years ago
Vijimambo10 years ago
MichuziDMV ALL STARS (USA) KUACHIA WIMBO MPYA WA ” NAJIVUNIA”
Wimbo “Najivunia” umetungwa na kurekodiwa Maryland, USA na kundi la wasanii wa Kitanzania waishio Marekani kwa ushirikiano na DMK Global Promotions. To be released on March 15thWasanii wenyewe ni:DMV All Stars:Mr.Tz aka SanTz Prince HerryDomiE-Breezy (Ibra. Max)AJ Ubao
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Dewji Blog15 Mar
10 years ago
Vijimambo15 Mar
10 years ago
Vijimambo09 Dec
DMV ALL STARS- NAJIVUNIA
Disemba 9, 2014 ni siku ya uhuru wa Tanganyika. Wakati taifa la Tanzania linaadhiminisha miaka 53 ya uhuru, tunapenda kuwasilisha rasmi wimbo “Najivunia”. Wimbo “Najivunia” umetungwa na kurekodiwa Maryland, USA na kundi la wasanii wa Kitanzania waishia Marekani kwa ushirikiano na DMK Global Promotions kuadhimisha miaka 53 ya uhuru wa Tanzania.
Wasanii wenyewe ni:
DMV All Stars:
Mr.Tz aka SanTized
Prince Herry
Dominic
E-Breezy (Ibra. Max)
AJ Ubao
Wasanii wenyewe ni:
DMV All Stars:
Mr.Tz aka SanTized
Prince Herry
Dominic
E-Breezy (Ibra. Max)
AJ Ubao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania