VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EbcPeaoG4_Y/TkL-3xhjT2I/AAAAAAAALu4/-Ipk7c35xLY/s72-c/vijimambo.png)
Timu yaVijimambo inapenda kuwatangazia wadau wake kwa sasa imeanzisha VIJIMMBO RADIO ambayo ipo hewani sasa hivi kwa majaribio kwa hiyo kama utapata nafasi naomba uisikilize kupitia www.vijimamboradio.com
Toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na
VIJIMAMBO RADIO
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi06 Jul
Michuzi TV IPO HEWANI...JIUNGE SASA - You'll love it!
JIUNGE HARAKA UPATE MAMBO MOTOMTO!!TUNAANZIA NA WATEJA WA VODACOM, AMBAO WANAKARIBISHWA KUPIGA *149*01# KISHA CHAGUA NAMBA 4 SIMU.tv (MPYA) HALAFU NENDA NAMBA 1. Habari (BURE), BAADA YA HAPO CHAGUA NAMBA 5 Michuzi TV (BURE) KISHA KUBALI...UNAKUWA UMESHAJISAJILI KWA HUDUMA HII MPYA. LIBENEKE OYE!
9 years ago
Bongo504 Nov
Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio
![EAR - Online Promo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/EAR-Online-Promo-300x194.jpg)
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?
Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.
Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
SHUJAAZ RADIO SHOW NA DJ TEE: Kuanza kuruka hewani Jumamosi hii East Africa Radio
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao? Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola. Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouurpNlx5kKakqHONPHv6vY0PtbR8HGqgvdF1FqAzoRappzhLXHzcKdkCUEEud1e4B8zuWxw9GwCkI-rnOKnu2Bm0/HamisiKigwangalla.jpg?width=650)
IPO HAJA KWA WAGOMBEA URAIS KUJITANGAZA SASA
10 years ago
Michuzi24 Nov
WEKA DAU hewani (Online) sasa na M-Bet ndani ya Tanzania
![Imagen M-bet](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/4kcnhTxytHtB4aqSx1zTCM2hQml_hQ4hS8izFM2Z5Ta2F8-CkoAdprZNauUXo4f5iqeDWYNxb3d8t_9bGq0PLPhEqm2mrsej5qiOrWxu02LWmnxe2THAaM6nW_nvy9Sh_6k1PzKIqXEvgVk71TJFevndnGt7F0Ij0cYYrCI=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/484c35c66ff5b225e0f288e33/images/8ca81e49-2cd9-4e17-99a5-7a2636f517a5.jpg)
![logotipo M-Bet](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/7yYN-hH8RLquPcQ_sa1qS8UFJ3WD2PtI4hZxcjpwz4HlP4RA96HCHGPSsaQ4WueUpddBU8_Xkrh9cV8zhZE7reyd9PrY7vMQhZzJbhfB613YtJmnRQVrIKkegPjU4wb__wygroLD0EB7CJVmMKUTQ_RA6dsZyarLjMABCU0=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/484c35c66ff5b225e0f288e33/images/0b7ecee3-c894-4212-908d-d3e31751c087.jpg)
![Boton](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/LH0Mgvcn9CRBtl1RHBNxHYfPeJnpQCm9pk6Zh72KMSxMZZ5TU1z2Yr1jIzWEK9HYNd-0TWg1_-5ybtB9Nes2TBzbbzmDtaZffUHhFoYmVGTjaqPIyKS-N0xvJfKo5JUs_2m3bO6NdtGr8djPTOSgmy8MvmqDGfxyhh7l7us=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/484c35c66ff5b225e0f288e33/images/f953d575-0635-4e8e-8cff-b321f4b33add.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QusxwpphOX4/VYFJZ5VTjdI/AAAAAAAHgZU/d-mClUHTM6w/s72-c/index.jpg)
WIZARA YA HABARI YAKAMILISHA UBORESHAJI TOVUTI YA WANANCHI, SASA IKO HEWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-QusxwpphOX4/VYFJZ5VTjdI/AAAAAAAHgZU/d-mClUHTM6w/s1600/index.jpg)
“Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari- MAELEZO, imekamilisha...
10 years ago
Bongo518 Dec
‘Coco Baby’ ya Waje ft. Diamond ndio wimbo unaoongoza kuombwa zaidi kwenye Radio nchini Nigeria kwa sasa — Star Fm
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FQTe2HT0CeI/VOGO12m-tWI/AAAAAAAHD50/7I8CrNUdSh0/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
FILAMU YA C.P.U IPO SOKONI SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQTe2HT0CeI/VOGO12m-tWI/AAAAAAAHD50/7I8CrNUdSh0/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBgfvgBC9Zs/VOGO1zhWmqI/AAAAAAAHD5w/XEl3qI0BdOU/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
Sinema...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/TECNO1.jpg)