Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHUJAAZ RADIO SHOW NA DJ TEE: Kuanza kuruka hewani Jumamosi hii East Africa Radio

EAR - Online Promo (1)

Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao? Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola. Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote  wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.

“Show yangu itahusika na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio

EAR - Online Promo

Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?

EAR - Online Promo

Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.

Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.

“Show yangu itahusika na...

 

10 years ago

Africanjam.Com

11 years ago

GPL

KENNETH KIDAGO WA EAST AFRICA RADIO AFARIKI DUNIA

Marehemu Kenneth Kidago Lyanga enzi ya uhai wake. Mbunifu Msaidizi na Mtangazaji wa Habari za Michezo wa East Africa Radio Kenneth Kidago Lyanga amefariki dunia nyumbani kwake Mwenge Mlalakua, Jijini Dar es Salaam. Mipango ya mazishi ya Kenneth Lyanga inafanywa na familia yake.Global Publishers tunatoa pole kwa familia ya marehemu Kenneth.Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Kenneth Kidago Lyanga Mahala Pema Peponi,… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

EATV , East Africa Radio wazindua kampeni ya “Zamu Yako 2015″

DSCN9941

Mkuu wa vipindi wa East Africa Radio, Nasser Kingu (kushoto) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua kampeni ya Zamu yako 2015, Kulia kwake ni Mkuu wa Masoko Eatv & East Africa Radio, Alex Galinoma.

Na Andrew Chale wa modewjiblog

KITUO cha Televisheni chenye ushawishi mkubwa kwa vijana  nchini Tanzania, EATV, sambamba na kituo chake cha East Africa Radio,  mapema leo wamezindua rasmi kampeni kubwa na ya aina yake ijulikanayo kwa jina la ZAMU YAKO...

 

10 years ago

Michuzi

Umeisikia kampeni ya EATV, East Africa Radio iitwayo “Zamu Yako 2015″?

DSCN9941Mkuu wa vipindi wa East Africa Radio, Nasser Kingu (kushoto) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua kampeni ya Zamu yako 2015, Kulia kwake ni Mkuu wa Masoko Eatv & East Africa Radio, Alex Galinoma.
KITUO cha Televisheni chenye ushawishi mkubwa kwa vijana  nchini Tanzania, EATV, sambamba na kituo chake cha East Africa Radio,  mapema leo wamezindua rasmi kampeni kubwa na ya aina yake ijulikanayo kwa jina la ZAMU YAKO 2015.Akizungumza na wandishi wa habari jijini...

 

11 years ago

Michuzi

VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO

Timu yaVijimambo inapenda kuwatangazia wadau wake kwa sasa imeanzisha VIJIMMBO RADIO ambayo ipo hewani sasa hivi kwa majaribio kwa hiyo kama utapata nafasi naomba uisikilize kupitia www.vijimamboradio.com 
Toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na 
VIJIMAMBO RADIO

 

10 years ago

GPL

EATV, EAST AFRICA  RADIO ZAZUNGUMZIA KAMPENI YA  ‘ZAMU YAKO 2015’

 6.Wafanyakazi wa EATV na East Africa Radio wakiwa katika tukio hilo. Mmoja wa watangazaji wa EATV (kushoto) akizungumzia  walivyojipanga kuuhabarisha umma kuhusu suala hilo. Nikki wa Pili (kushoto) akitabasamu baada ya kuulizwa swali na mmoja wa wanahabari waliohudhuria hafla hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA RADIO 5 WAADHIMISHA SIKU YA RADIO DUNIANI

SAM_1097
Kushoto ni Mkuu wa vipindi vya Radio 5 Mathew Philip na Ashura Mohamed wakiwa katika picha ya  pamoja na wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika maadhimisho hayo ya Radio duniani.  Akizungumza na waandishi wahabari hivi karibuni Mkuu wa vipindi wa Radio 5 Bw.Mathew Philip alisema maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kituo hicho pamoja na Farm Radio, ikiwa ni kuhadhimisha siku ya Radio duniani ambapo ilifanyika  tarehe 13/2/2015...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani