Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?
Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.
Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
SHUJAAZ RADIO SHOW NA DJ TEE: Kuanza kuruka hewani Jumamosi hii East Africa Radio
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao? Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola. Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-gk6VntmlYTk/VXs2OYzttBI/AAAAAAAACCM/kpVHh79s4pI/s72-c/EAST%2BAFRICA%2BRADIO.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KENNETH KIDAGO WA EAST AFRICA RADIO AFARIKI DUNIA
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
EATV , East Africa Radio wazindua kampeni ya “Zamu Yako 2015″
Mkuu wa vipindi wa East Africa Radio, Nasser Kingu (kushoto) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua kampeni ya Zamu yako 2015, Kulia kwake ni Mkuu wa Masoko Eatv & East Africa Radio, Alex Galinoma.
Na Andrew Chale wa modewjiblog
KITUO cha Televisheni chenye ushawishi mkubwa kwa vijana nchini Tanzania, EATV, sambamba na kituo chake cha East Africa Radio, mapema leo wamezindua rasmi kampeni kubwa na ya aina yake ijulikanayo kwa jina la ZAMU YAKO...
10 years ago
Michuzi13 Feb
Umeisikia kampeni ya EATV, East Africa Radio iitwayo “Zamu Yako 2015″?
![DSCN9941](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/rhNxKKXVD_OEPeT2_1lhbZv-1Hrvs7pmyv4lUy_1AFx8cFTziwj__c7aPWT4Hv6S327rUKSUwE1nb4FxKgoaFirVcSgLv-pH1IOvK55GefoalA=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSCN9941.jpg)
KITUO cha Televisheni chenye ushawishi mkubwa kwa vijana nchini Tanzania, EATV, sambamba na kituo chake cha East Africa Radio, mapema leo wamezindua rasmi kampeni kubwa na ya aina yake ijulikanayo kwa jina la ZAMU YAKO 2015.Akizungumza na wandishi wa habari jijini...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EbcPeaoG4_Y/TkL-3xhjT2I/AAAAAAAALu4/-Ipk7c35xLY/s72-c/vijimambo.png)
VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EbcPeaoG4_Y/TkL-3xhjT2I/AAAAAAAALu4/-Ipk7c35xLY/s640/vijimambo.png)
Toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na
VIJIMAMBO RADIO
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/610.jpg)
EATV, EAST AFRICA RADIO ZAZUNGUMZIA KAMPENI YA ‘ZAMU YAKO 2015’
10 years ago
MichuziExclusive: Maulid Kitenge wa Radio One ahamia Radio EFM
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...
10 years ago
Michuzi16 Feb
KITUO CHA RADIO 5 WAADHIMISHA SIKU YA RADIO DUNIANI
![SAM_1097](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/-UdwQuoQRFfeQs694h5GuIA0LWQuOEqyGllXNMUAm74l9LfQJSwtS5jlMSjEc4A91OfxANwORGoO2tU8_xZS7IB2mQ4NJMe8Gq6WDIAtUQhiZCA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/02/sam_1097.jpg)
Kushoto ni Mkuu wa vipindi vya Radio 5 Mathew Philip na Ashura Mohamed wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika maadhimisho hayo ya Radio duniani. Akizungumza na waandishi wahabari hivi karibuni Mkuu wa vipindi wa Radio 5 Bw.Mathew Philip alisema maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kituo hicho pamoja na Farm Radio, ikiwa ni kuhadhimisha siku ya Radio duniani ambapo ilifanyika tarehe 13/2/2015...