FRORA MBASHA: DVD MPYA YA NIPE NGUVU YA KUSHIDA SASA IKO MADUKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8RTNHDqzeAE/VJyMrgmLgTI/AAAAAAAG5zw/Thyr01D0fx8/s72-c/1%2B(2).jpg)
Mungu amekuwa mwema kwangu tangia nilipomkubali kuwa mwokozi wangu na nguzo yangu. Nimeona Mungu akinishindia na magumu ninayopitia na niliyoyapitia katika maisha yangu. Nimeona Mungu huyu unayemwabudu kila siku akinivusha na kunitia moyo pale ninapoona akili yangukufikiri jinsi ya kutatua yale yaliyombele yangu. Mungu huyu ni waajabu kwangu, kaniwezesha katika uaandaji wa albamu hii mpya ya "NIPE NGUVU YA KUSHINDA". Nazidi kumshangaa Mungu huruma zake na fadhili zake kwangu - Flora Mbasha
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yQ3XpGCPBlg/Ux1qyrwMMmI/AAAAAAAFShE/1EyjRkoLMrg/s72-c/IMG-20140307-WA0005.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KOZslsWYfWg/default.jpg)
11 years ago
Michuzi01 Jul
Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD!
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/TECNO1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](https://4.bp.blogspot.com/-0JsIYTRHsiU/VTQf5pi5PjI/AAAAAAAADtE/RbjWUdQ870o/s72-c/26ED72B700000578-0-image-a-1_1427131432184.jpg)
COLLECTION ZA DVD ZA MAYWEATHER NA PACQUAIO SASA ZINAPATIKANA UHURU / MSIMBAZI DAR
![](https://4.bp.blogspot.com/-0JsIYTRHsiU/VTQf5pi5PjI/AAAAAAAADtE/RbjWUdQ870o/s1600/26ED72B700000578-0-image-a-1_1427131432184.jpg)
IKIWA zimesalia siku chache kufanyika mpambano wa kusisimua wa mchezo wa masumbwi Duniani kati ya bondia Floyd Mayweather na Manny Paquaio mei 2 mwaka uhu mpambano uho uliovunja rekodi ya mapato mbalimbali ya ngumi zilizofanyika kwa kipindi hichi
kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amekwisha toa Collection DVD za mapambano ya wakali hawo yaliyopita nyuma dvd hizo zenye mafunzo mbalimbali pamoja na mazoezi wakati wakijiandaa kupigana...
9 years ago
Habarileo18 Sep
Hukumu ya Mbasha sasa J’tatu
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imepanga Jumatatu ijayo kutoa hukumu dhidi ya mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Emmanuel Mbasha (32) anayekabiliwa na mashitaka mawili ya kubaka.
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Filamu ya Kusisimua Kuhusu Mauaji ya Albino "Firigisi" , Sasa Iko Jikoni
Filamu ya kusisimua inayohusu ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino) inatarajia kuzinduliwa mwezi April Mwaka huu.Filamu hiyo iliyopewa jina la “FIRIGISI” imefanywa na wasanii kutoka mkoa wa Shinyanga( Bongo Movie Shinyanga) na msanii Denice Sweya maarufu Dino kutoka Bongo Movie Dar es salaam.
Dino ameigiza na kuongoza Filamu hiyo ambayo imebeba maudhui kuhusu Ukatili wanaofanyiwa watu wenye Albinism nchini Tanzania huku watu mbalimbali wakitajwa kuhusika katika ukatili huo wakiwemo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QusxwpphOX4/VYFJZ5VTjdI/AAAAAAAHgZU/d-mClUHTM6w/s72-c/index.jpg)
WIZARA YA HABARI YAKAMILISHA UBORESHAJI TOVUTI YA WANANCHI, SASA IKO HEWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-QusxwpphOX4/VYFJZ5VTjdI/AAAAAAAHgZU/d-mClUHTM6w/s1600/index.jpg)
“Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari- MAELEZO, imekamilisha...
11 years ago
CloudsFM22 Jul
'SUPA NYOTA' NEY LEE AREKODI VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA YA ’NIPE MUDA’ NCHINI ZAMBIA
Msanii zao la Supa Nyota 2012 Ney Lee anaelekea kukamilisha video ya wimbo wake mpya ‘Nipe Muda’ inayofanyika nchini Zambia na kampuni ya Video ya F2K Production.