COLLECTION ZA DVD ZA MAYWEATHER NA PACQUAIO SASA ZINAPATIKANA UHURU / MSIMBAZI DAR
![](https://4.bp.blogspot.com/-0JsIYTRHsiU/VTQf5pi5PjI/AAAAAAAADtE/RbjWUdQ870o/s72-c/26ED72B700000578-0-image-a-1_1427131432184.jpg)
Na Mwandishi Wetu
IKIWA zimesalia siku chache kufanyika mpambano wa kusisimua wa mchezo wa masumbwi Duniani kati ya bondia Floyd Mayweather na Manny Paquaio mei 2 mwaka uhu mpambano uho uliovunja rekodi ya mapato mbalimbali ya ngumi zilizofanyika kwa kipindi hichi
kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amekwisha toa Collection DVD za mapambano ya wakali hawo yaliyopita nyuma dvd hizo zenye mafunzo mbalimbali pamoja na mazoezi wakati wakijiandaa kupigana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi01 Jul
Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8RTNHDqzeAE/VJyMrgmLgTI/AAAAAAAG5zw/Thyr01D0fx8/s72-c/1%2B(2).jpg)
FRORA MBASHA: DVD MPYA YA NIPE NGUVU YA KUSHIDA SASA IKO MADUKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8RTNHDqzeAE/VJyMrgmLgTI/AAAAAAAG5zw/Thyr01D0fx8/s1600/1%2B(2).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3kIhSeuE0cM/VUdnqRF7-UI/AAAAAAAHVLA/YO8DxD1AAws/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
3D cctv camera zinapatikana Dar es salam
![](http://2.bp.blogspot.com/-3kIhSeuE0cM/VUdnqRF7-UI/AAAAAAAHVLA/YO8DxD1AAws/s640/unnamed%2B(16).jpg)
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Kerr sasa roho kwatu Msimbazi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, ameanza kujivunia kikosi chake kuwa kwa sasa kipo imara na kinaweza kumpatia matokeo mazuri kwenye mechi zilizobakia za Ligi Kuu Tanzania Bara kama ilivyokuwa mkakati wake.
Simba hivi karibuni ilifanikiwa kuifunga Kimbunga FC ya Zanzibar kwa mabao 5-2, ikiwa ni mchezo wao wa kwanza wa majaribio tangu ligi isimame, kesho itajipima tena na timu nyingine visiwani humo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema kadiri...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tlWNGW4V0LU/VO-RgSusDWI/AAAAAAAHGKk/Dehs9owUkH4/s72-c/DSC_0029.jpg)
10 years ago
GPLDEREVA PIKIPIKI ANUSURIKA KIFO MSIMBAZI CENTRE, DAR
10 years ago
GPLMVUA YASABABISHA AJALI MSIMBAZI CENTRE JIJINI DAR LEO