Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


3D cctv camera zinapatikana Dar es salam

3D cctv camera hizi Tuna-supply na ku-install hizo camera ambazo ni unique. Anayehitaji piga namba hizo chini - Uliza Bernard0787 2415140713 266007

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TAA na CCTV camera za barabarani Zanzibar

Zanzibar yapiga hatua ,mafundi wakifunga Taa za barabarani pamoja na cctv camera katika eneo la mataa ya kuelekea darajani,unguja.

 

10 years ago

Vijimambo

CCTV CAMERA ZAFUNGWA MJI MKONGWE ZANZIBAR


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla juu ya mfumo wa utendaji kazi wa mradi wa Camera za kurikodi matukio mbali mbali ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.

Kulia ya Balozi Sei ni Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Bwana Xie Yun Liang.
Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla akionyesha picha...

 

10 years ago

Vijimambo

COLLECTION ZA DVD ZA MAYWEATHER NA PACQUAIO SASA ZINAPATIKANA UHURU / MSIMBAZI DAR

Na Mwandishi Wetu
IKIWA zimesalia siku chache kufanyika mpambano wa kusisimua wa mchezo wa masumbwi Duniani kati ya bondia Floyd Mayweather na Manny Paquaio mei 2 mwaka uhu mpambano uho uliovunja rekodi ya mapato mbalimbali ya ngumi zilizofanyika kwa kipindi hichi

kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amekwisha toa Collection DVD za mapambano ya wakali hawo yaliyopita nyuma dvd hizo zenye mafunzo mbalimbali pamoja na mazoezi wakati wakijiandaa kupigana...

 

11 years ago

Libya Herald

Libyan diplomat in Dar es Salam kills himself


Oneindia
Libyan diplomat in Dar es Salam kills himself
Libya Herald
The acting Libyan ambassador to Tanzania, Ismail Nwairat, has committed suicide, according to the embassy in Dar es Salam. Nwairat shot himself on Tuesday afternoon, an embassy statement published yesterday said. According to it, he locked himself in ...
Libyan envoy found dead in office in DarIPPmedia
Libyan diplomat to Tanzania commits suicideMizo News

all 11

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete Opens Central Corridor Summit in Dar es Salam

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete delivers his keynote address during the opening session of the Central Corridor Presidential Round Table and High Level Industry and investor Forum held at Julius Nyerere International Conference Centre in Dar es Salaam this morning. Third left seated is President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda, fourth left is Burundi’s President Pierre Nkurunzinza, and second left is DRC’s Minister for Transport Justin Kaumba Mwana Ngongo. President Dr.Jakaya Mrisho...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es Salam

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Michuzi

news alert: binti wa miaka 12 atoweka nyumbani kwao temeke, dar es salam, wazazi wanamtafuta


Jina: Mwasiti Abdulrazack Kakurwa. 
Umri miaka 12. Rangi ya mwili: Mweusi. 

Mara ya mwisho alivaa T-shirt iliyoandikwa Mnazi Mmoja primary School, na alijifunika mtandio mweusi. Ametoweka jana jioni maeneo ya mtaa wa Berege, Tandika, Temeke, Dar es salaam.Yeyote atayemuina ama mwenye taarifa zake tunaomba taarifa zipelekwe katika kituo chochote cha polisi ama Kituo cha police tandika, Temeke,  na police Chang'ombe, Dar es salaam. Ama kwa Mzazi Abdurazack Kakurwa, namba ya simu 0713 835699, au...

 

11 years ago

Michuzi

MWENGE WA UHURU WAWASILI ZANZIBAR KUTOKEA DAR ES SALAM NA KUKABIDHIWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI.

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Said Meck Sadikiakimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe Kiembesamaki leo. Vijana wa Chipkizi wakiimba nyimbo ya Mwenge. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akishika mwenge wa Uhuru ulipowasili Zanzibar. Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Hamza Ibrahim kutoka Mjini Magharibi na maaskari wakiukimbiza Mwenge.
  Mkuu wa Mkoa wa...

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif afunga mkutano wa siku mbili wa mashauriano kuhusu amani na utulivu wa nchi dar es salam

Na Hassan Hamad, OMKR Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ametoa wito kwa Watanzania kuwa waangalifu na kuendeleza amani iliyopo, ili Tanzania isije ikatumbukia katika migogoro na machafuko kama inavyojitokeza kwa baadhi ya nchi za Afrika. Akifunga mkutano wa siku mbili wa mashauriano kuhusu amani na utulivu wa nchi huko ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Maalim Seif ambaye pia alikua mshiriki wa mkutano huo amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani