3D cctv camera zinapatikana Dar es salam
![](http://2.bp.blogspot.com/-3kIhSeuE0cM/VUdnqRF7-UI/AAAAAAAHVLA/YO8DxD1AAws/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
3D cctv camera hizi Tuna-supply na ku-install hizo camera ambazo ni unique. Anayehitaji piga namba hizo chini - Uliza Bernard0787 2415140713 266007
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u1UlqYMnLpU/VYHRtk3vA9I/AAAAAAAHgvg/QI10OigRODg/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
TAA na CCTV camera za barabarani Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-u1UlqYMnLpU/VYHRtk3vA9I/AAAAAAAHgvg/QI10OigRODg/s640/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JRlV9hFA-GU/VYHRv2qRg5I/AAAAAAAHgvo/BYM0rudHSwg/s640/Zanzibar%2Byapiga%2Bhatua%2B%252Cmafundi%2Bwakifunga%2B%2BTaa%2Bza%2Bbarabarani%2Bpamoja%2Bna%2Bcctv%2Bcamera%2Bkatika%2Beneo%2Bla%2Bmataa%2Bya%2Bkuelekea%2Bdarajani%252Cunguja.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-5O7y54n38sw/VYRE4itnq7I/AAAAAAAByVM/ahnw3S8KvZo/s72-c/526.jpg)
CCTV CAMERA ZAFUNGWA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-5O7y54n38sw/VYRE4itnq7I/AAAAAAAByVM/ahnw3S8KvZo/s640/526.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla juu ya mfumo wa utendaji kazi wa mradi wa Camera za kurikodi matukio mbali mbali ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.
Kulia ya Balozi Sei ni Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Bwana Xie Yun Liang.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDu9_6pwYJg/VYRE43PFFAI/AAAAAAAByVQ/B3sB8iB2lw0/s640/527.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwStKEYPW4/VYRE45OeFcI/AAAAAAAByVU/jzMgZfW7Cus/s640/541.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](https://4.bp.blogspot.com/-0JsIYTRHsiU/VTQf5pi5PjI/AAAAAAAADtE/RbjWUdQ870o/s72-c/26ED72B700000578-0-image-a-1_1427131432184.jpg)
COLLECTION ZA DVD ZA MAYWEATHER NA PACQUAIO SASA ZINAPATIKANA UHURU / MSIMBAZI DAR
![](https://4.bp.blogspot.com/-0JsIYTRHsiU/VTQf5pi5PjI/AAAAAAAADtE/RbjWUdQ870o/s1600/26ED72B700000578-0-image-a-1_1427131432184.jpg)
IKIWA zimesalia siku chache kufanyika mpambano wa kusisimua wa mchezo wa masumbwi Duniani kati ya bondia Floyd Mayweather na Manny Paquaio mei 2 mwaka uhu mpambano uho uliovunja rekodi ya mapato mbalimbali ya ngumi zilizofanyika kwa kipindi hichi
kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amekwisha toa Collection DVD za mapambano ya wakali hawo yaliyopita nyuma dvd hizo zenye mafunzo mbalimbali pamoja na mazoezi wakati wakijiandaa kupigana...
11 years ago
Libya Herald03 Jul
Libyan diplomat in Dar es Salam kills himself
Oneindia
Libya Herald
The acting Libyan ambassador to Tanzania, Ismail Nwairat, has committed suicide, according to the embassy in Dar es Salam. Nwairat shot himself on Tuesday afternoon, an embassy statement published yesterday said. According to it, he locked himself in ...
Libyan envoy found dead in office in DarIPPmedia
Libyan diplomat to Tanzania commits suicideMizo News
all 11
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-spdQahXIojs/VRLe6SNXjZI/AAAAAAAHNNA/Fg2mll1ZKv0/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
President Kikwete Opens Central Corridor Summit in Dar es Salam
![](http://3.bp.blogspot.com/-spdQahXIojs/VRLe6SNXjZI/AAAAAAAHNNA/Fg2mll1ZKv0/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p140oLU9RX0/VRLe6eYl2_I/AAAAAAAHNNE/lACKS4GZTNg/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es Salam
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s72-c/unnamed.jpg)
news alert: binti wa miaka 12 atoweka nyumbani kwao temeke, dar es salam, wazazi wanamtafuta
![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s1600/unnamed.jpg)
Jina: Mwasiti Abdulrazack Kakurwa.
Umri miaka 12. Rangi ya mwili: Mweusi.
Mara ya mwisho alivaa T-shirt iliyoandikwa Mnazi Mmoja primary School, na alijifunika mtandio mweusi. Ametoweka jana jioni maeneo ya mtaa wa Berege, Tandika, Temeke, Dar es salaam.Yeyote atayemuina ama mwenye taarifa zake tunaomba taarifa zipelekwe katika kituo chochote cha polisi ama Kituo cha police tandika, Temeke, na police Chang'ombe, Dar es salaam. Ama kwa Mzazi Abdurazack Kakurwa, namba ya simu 0713 835699, au...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qMJnZZe9Fec/U9jrWwkJX5I/AAAAAAAF73o/Z1kvmZjGwYI/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MWENGE WA UHURU WAWASILI ZANZIBAR KUTOKEA DAR ES SALAM NA KUKABIDHIWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-qMJnZZe9Fec/U9jrWwkJX5I/AAAAAAAF73o/Z1kvmZjGwYI/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nnLSoLyPAsY/U9jrWzFeyXI/AAAAAAAF73w/p31nV_Hft_8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-stzL_bRln1s/U9jrXIZz3zI/AAAAAAAF73s/YBoSexjKST0/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oYRJDcCC8UQ/U9jrX_sTfSI/AAAAAAAF74Q/LXziKhoBnuU/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sXqbx1rfMzs/U9jrYR7JVWI/AAAAAAAF734/6NUTdI8cFQI/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uKXaXkmLqVo/VV1RiVB7aLI/AAAAAAAHYvw/rwhSdWFEf6w/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
Maalim Seif afunga mkutano wa siku mbili wa mashauriano kuhusu amani na utulivu wa nchi dar es salam
Na Hassan Hamad, OMKR Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ametoa wito kwa Watanzania kuwa waangalifu na kuendeleza amani iliyopo, ili Tanzania isije ikatumbukia katika migogoro na machafuko kama inavyojitokeza kwa baadhi ya nchi za Afrika. Akifunga mkutano wa siku mbili wa mashauriano kuhusu amani na utulivu wa nchi huko ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Maalim Seif ambaye pia alikua mshiriki wa mkutano huo amesema...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania