Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vinywaji vya kusisimua akili, kutia mwili nguvu, vina athari za kiafya

Wengine, hasa madereva, hupenda kutumia vinywaji hivi ili kuondoa uchovu na kuwafanya wasipate usingizi. Hufanya hivyo ili wasisinzie na kusababisha wasababishe ajali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Vinywaji vya kuongeza nguvu ni hatari

VINYWAJI baridi vyenye lengo la kuongeza nguvu vinadaiwa kuwa hatari kwa afya ya watumiaji baada ya kubaini baadhi ya kemikali husababisha madhara mwilini.

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA CHAI, KAHAWA KWA VIUNGO VYA MWILI

KAMA mtakumbuka, katika toleo la Uwazi namba 846, Juni 10 – 16, 2014, tuliongelea madhara ya matumizi makubwa ya bidhaa zenye caffeine na kahawa ikiwa yenye kiwango kikubwa. Wasomaji wengi mliuliza maswali mengi mkitaka kujua zaidi kuhusu athari za caffeine, hasa kwa upande wa maumivu ya mifupa na nyonga. Mlikuwa sahihi kwa kuwa ni kweli wengi wetu tunaumwa maradhi ya mifupa na hasa nyonga, magoti na mgongo. Kitaalamu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Matumizi makubwa ya nguvu za polisi na athari zake

Amri ya kutotembea usiku nchini Kenya ilivyosababisha vurugu na vifo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Athari za kiafya migodini Tanzania

Wiki Hii katika Haba na Haba tunaangalia athari za kiafya zinazowakuta wananchi kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini.

 

9 years ago

Bongo5

Tatizo kubwa la kiafya la Chege lilikaribia kutia doa utengenezaji wa video yake ya Sweety Sweety Afrika Kusini

CHEGE-NEW

Chege amesimulia changamoto kubwa iliyompata wakati akishoot video ya wimbo wake Sweety Sweety nchini Afrika Kusini na director Justin Campos.

CHEGE-NEW

Chege ameiambia Bongo5 kuwa moja ya changamoto kubwa iliyomkuta ni kupata maumivu ya kiuno hali ambayo ilisababisha kusitishwa kwa shughuli hiyo.

“Kuna ile short ya kwanza kabisa nilipata tatizo la maumivu ya kiuno, kilikuwa kinauma sana ikabidi tupumzike na director akanipa dawa,” amesema.

“Lakini nashukuru Mungu baada ya muda fulani kikapoa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Utoaji mimba na athari zake kiafya

Utoaji wa mimba kwa njia isiyo salama umechangia kuongezeka kwa tatizo la ugumba na vifo vya watoto chini ya miaka mitano nchini Tanzania.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya vinywaji ya SBC Tanzania yashusha bei ya vinywaji vyao,sasa ni Ths. 500 tu!

DSC_2480

Mkurugenzi wa Mafunzo na Uelimishaji Kitaifa kutoka kampuni ya SBC Tanzania, Rashid Chenja akionesha  tangazo jipya linaloonyesha punguzo la bei ya soda zao kutoka Tsh. 600 hadi Tsh. 500 kwa waandishi wa habari (hawapo pichani)  bei ambayo inaanza kutumika sasa kuanzia leo. Wengine: Kushoto ni Roselyne Bruno Meneja Masoko wa kampuni hiyo na kulia ni Omary Mandaya Meneja mauzo wa kampuni hiyo. (Picha zote  na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Kampuni ya kutengeneza...

 

10 years ago

Mwananchi

Soka ni vita akili ,nguvu,nidhamu uwanjani

Soka ni mchezo ambao huchezwa kwa kutumia mbinu nyingi kwenye uwanja ambao upo mstatili.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuwaandae kuwa wakakamavu wa mwili au akili?

Lugha inayotawala sasa kwa vijana wengi ni kukosa ajira, kukosa kazi. Na kubwa zaidi Serikali inalaumiwa kwa kuwanyima ajira vijana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani