Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Athari za kiafya migodini Tanzania

Wiki Hii katika Haba na Haba tunaangalia athari za kiafya zinazowakuta wananchi kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Utoaji mimba na athari zake kiafya

Utoaji wa mimba kwa njia isiyo salama umechangia kuongezeka kwa tatizo la ugumba na vifo vya watoto chini ya miaka mitano nchini Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Vinywaji vya kusisimua akili, kutia mwili nguvu, vina athari za kiafya

Wengine, hasa madereva, hupenda kutumia vinywaji hivi ili kuondoa uchovu na kuwafanya wasipate usingizi. Hufanya hivyo ili wasisinzie na kusababisha wasababishe ajali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Athari za uvuvi wa mabomu Tanzania

Mtindo wa kuvua Samaki kwa mabomu Tanzania unavyotatiza utulivu wa bahari. Na Gladys Njoroge

 

9 years ago

Mwananchi

Athari za Nyerere katika chaguzi za Tanzania

Huwezi kusikiliza lolote kuhusu kampeni za uchaguzi Tanzania bila kulisikia jina la Mwalimu Julius Nyerere likitajwa kwa kunukuliwa alichokisema. Kila upande, uwe ni upinzani au Chama Cha Mapinduzi (CCM) mgombea akitaka kutia uzito maneno yake, atamnukuu Mwalimu Nyerere.

 

9 years ago

StarTV

 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.

Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.

Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.

Madhara...

 

10 years ago

Vijimambo

Athari 12 Za Sheria Mpya Ya Masuala ya Mitandao ( TANZANIA VYBERCRIME ACT, 2015 ) Iliyopitishwa Bungeni


Sheria hii ni muhimu duniani kote na ndio maana hata Tanzania ilikuwa inangojea kupata sheria ya kuongoza masuala ya mitandao yaani Cyber Law kutokana na uhalifu wa aina mbalimbali wa masuala ya mitandao.
Sifa kuu ya sheria ya kuongoza masuala ya mitandao ni kuweka bayana makosa ya mitandaoni na pia kuyatolea adhabu. Sheria hii inayopitishwa kwa dharura madhara yake ni:
Moja, Kifungu 7 (2b): Mpokeaji wa ujumbe (receiver) anaweza kushtakiwa kwa kosa la kupokea ujumbe ambao sheria imeufanya kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mfuko wa LAPF waingia migodini

MFUKO wa Pensheni wa LAPF umeanza kusambaza huduma zinazotokana na mfuko huo katika sekta ya migodi.

 

11 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya VVU yaongezeka migodini

Takwimu za maambukizi ya virusi vya Ukimwi, zimeongezeka katika maeneo yanayozunguka migodi ukilinganisha na maeneo mengine ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wakana mauaji migodini TZ

Wamekanusha madai ya mauaji ya wakazi wa eneo la Nyamongo linalozunguka mgodi wa machimbo ya dhahabu Wilayani Tarime

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani