Athari za kiafya migodini Tanzania
Wiki Hii katika Haba na Haba tunaangalia athari za kiafya zinazowakuta wananchi kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Utoaji mimba na athari zake kiafya
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Vinywaji vya kusisimua akili, kutia mwili nguvu, vina athari za kiafya
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Athari za uvuvi wa mabomu Tanzania
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Athari za Nyerere katika chaguzi za Tanzania
9 years ago
StarTV12 Nov
 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-wsDJwXK2XeE/VR0znKTFpBI/AAAAAAAAZWY/61Xr0di8yBQ/s72-c/1.jpg)
Athari 12 Za Sheria Mpya Ya Masuala ya Mitandao ( TANZANIA VYBERCRIME ACT, 2015 ) Iliyopitishwa Bungeni
![](http://2.bp.blogspot.com/-wsDJwXK2XeE/VR0znKTFpBI/AAAAAAAAZWY/61Xr0di8yBQ/s1600/1.jpg)
Sheria hii ni muhimu duniani kote na ndio maana hata Tanzania ilikuwa inangojea kupata sheria ya kuongoza masuala ya mitandao yaani Cyber Law kutokana na uhalifu wa aina mbalimbali wa masuala ya mitandao.
Sifa kuu ya sheria ya kuongoza masuala ya mitandao ni kuweka bayana makosa ya mitandaoni na pia kuyatolea adhabu. Sheria hii inayopitishwa kwa dharura madhara yake ni:
Moja, Kifungu 7 (2b): Mpokeaji wa ujumbe (receiver) anaweza kushtakiwa kwa kosa la kupokea ujumbe ambao sheria imeufanya kuwa...
10 years ago
Habarileo17 Dec
Mfuko wa LAPF waingia migodini
MFUKO wa Pensheni wa LAPF umeanza kusambaza huduma zinazotokana na mfuko huo katika sekta ya migodi.
11 years ago
Mwananchi04 May
Maambukizi ya VVU yaongezeka migodini
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Polisi wakana mauaji migodini TZ