Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfuko wa LAPF waingia migodini

MFUKO wa Pensheni wa LAPF umeanza kusambaza huduma zinazotokana na mfuko huo katika sekta ya migodi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mfuko wa LAPF, Wawapongeza Waalimu Wapya

Meneja Mfuko wa LAPF, Kanda ya Dar es Salaam, Bi. Amina Kassim, akizungumza na Waandishi wa habari, kuwapongeza waalimu wapya, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Umewapongeza walimu wote kwa kupata ajira huku ikiwakumbusha kuwa huu ndio mwanzo wa maisha yao ya  ajira hivyo ni muhimu kujipanga vizuri kimaisha kwa kuchagua mfuko wa pensheni wenye maslahi bora!.
Hayo yameelezwa na Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Kanda ya Dar es Salaam, Bi. Amina...

 

10 years ago

Dewji Blog

LAPF mfuko unaokua kwa kasi sana

1

Meneja wa Takwimu,Tathmini na Hadhari toka Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw.Aboubakar Ndwata akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali unaofanywa na mfuko huo ukiwemo wa jengo linalokadiriwa kuwa refu zaidi jijini Dar es salaam lenye urefu wa gorofa 30 ambalo limejengwa Kijitonyama jijini Dar es salaam likiwa na thamani ya Shilingi bilioni 58, kulia ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko huo Bw.James Mlowe na kushoto ni meneja Matekelezo...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSENI WA LAPF WASAIDIA WIKI YA USALAMA BARABARANI

 Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam Mfuko wa  Pensheni wa LAPF , Yessaya Mwakifulefule (wa pili kulia)  akimkabidhi Katibu wa kamati ya Usalama Barabarani Kanda Maalum, ACP Peter Sima (kushoto), Hundi ya thamani ya Million Tatu  walizotoa kwa ajili yakusaidia mahitaji ya wiki ya nenda kwa usalama. Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Elifadhili Mgonja (wa pili kushoto) na Afisa masoko wa Mfuko huo Rehema  Mkamba .



 

9 years ago

Vijimambo

MFUKO WA HIFADHI YA JAMII WA LAPF WAZUNGUMZA NA WAADISHI WA HABARI MKOANI DODOMA

  Meneja masoko na mawasliano wa mfuko wa jamii wa LAPF, Bw, James Mlowe akifafanua jambo wakati alipokuwa anaongea na waandisha wa habari uliofanyika mjini Dodoma.
   Waandishi wa habari wakiwajibika katika ukumbi wa New Dodoma Hotel wakati Meneja masoko na mawasiliano wa mfuko wa jamii wa LAPF James Mlowe  alipokuwa akizungumza kuhusu maendeleo ya mfuko huo ambao unazidi kujitanua kutokana na Miradi mbalimbali ikiwemo ya majengo.Maafisa wa mfuko wa jamii wa LAPF wakiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mfuko wa Pensheni wa LAPF WASHIRIKI Maadhimisho ya Wiki ya Serikali za Mitaa Mtwara

 Mfuko wa Pensheni wa LAPF umeshiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Serikali za Mitaa Mtwara katika viwanja vya mashujaa. LAPF inawakaribisha wakazi wa Mtwara na Watanzania wote kutembelea banda lao ili uweze kupata  huduma mbali mbali ikiwa ni pamoja na kufahamu juu ya huduma mpya zinazotolewa na LAPF kama vile mkopo wa kujikimu, Mafao ya Uzazi na Mkopo wa Elimu. Pia wanachama watapata fursa ya kuangalia taarifa za michango yao kujiunga  na LAPF na kupata vitambulisho bandani.Pichani ni...

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho Ya Miaka 70 ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Kuanza Kesho Mjini Arusha

Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Saba wa wadau wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, yamekamilika ambapo mkutano huo utahudhuriwa na wajumbe zaidi ya 700 toka nchini na nje ya nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Arusha, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. Eliud Sanga, amesema maadalizi yote ya mkutano huo, wenye kauli mbiu ya "Maadhimisho ya Miaka 70 ya Ukuaji na Huduma Bora, LAPF", yamekamilika ambapo utakwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Mfuko...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI HAWA GHASIA AZINDUWA BODI MPYA YA WADHAMINI YA MFUKO WA PENSHENI WA LAPF

 Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa (kulia), akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia picha yenye nembo ya mfuko huo kwenye  hafla ya uzinduzi wa bodi mpya ya wadhamini ya mfuko wa LAPF na kuiaga bodi iliyomaliza muda wake iliyofanyika makao makuu ya mfuko huo Dar es Salaam jana.  Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa (kulia),...

 

11 years ago

Michuzi

HATUJAWAHI KUMKOPESHA MBOWE, WALA KUWASAIDIA "SUGU" NA MSIGWA - MFUKO WA PENSHENI WA LAPF

 MFUKO WA PENSHENI WA LAPF NI MFUKO WA HIFADHI YA JAMII NCHINI TANZANIA WENYE MAKAO MAKUU YAKE MJINI DODOMA.
MFUKO WA LAPF  UNAPENDA KUKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KUWA LAPF ILITOA MSAADA KWA MBUNGE WA MBEYA MJINI MH. JOSEPH MBILINYI  (kulia) NA MBUNGE WA IRINGA MJINI MH. PETER MSIGWA (kushoto).  IELEWEKE KUWA INGAWA WAHESHIMIWA WABUNGE AU MTU AU TAASISI YEYOYE HAWAZUILIWI KUOMBA MSAADA WA KIJAMII, MH. MBILINYI NA MH. MSIGWA HAWAJAWAHI KUWASILISHA MAOMBI NA...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA LAPF WASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA SERIKALI ZA MITAA MTWARA

LAPF inawakaribisha wana mtwara kutembelea banda lao ili waweze kupata huduma mbali mbali ikiwa ni pamoja na kufahamu juu ya huduma mpya zinazotolewa na LAPF kama vile mkopo wa kujikimu, Mafao ya Uzazi na mkopo wa elimu.
Pia wanachama watapata fursa ya kuangalia taarifa za michango yao, kujiunga LAPF na kupata vitambulisho.
Katika picha ni maafisa wa LAPF wakitoa huduma kwa wanachama waliotembelea banda hilo. Wananchi wa Mtwala wakitembelea maanda ya mfuko wa pensheni wa LAPF, Mtwara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani