WAZIRI HAWA GHASIA AZINDUWA BODI MPYA YA WADHAMINI YA MFUKO WA PENSHENI WA LAPF
Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa (kulia), akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia picha yenye nembo ya mfuko huo kwenye hafla ya uzinduzi wa bodi mpya ya wadhamini ya mfuko wa LAPF na kuiaga bodi iliyomaliza muda wake iliyofanyika makao makuu ya mfuko huo Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa (kulia),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Waziri Hawa Ghasia azinduwa bodi mpya ya wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF, jijini Dar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia akitoa hutuba yake wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ua wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa, akizungumza katika hafla hiyo.
Waziri wa Kazi na Ajira Gaudentia Kabaka akichangia jambo kwenye uzinduzi huo.
Mkurugenzi Mkuu wa LAPF, Eliud Sanga akizungumza machache kwenye uzinduzi huo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NbPbC7hldd0/VlGYSoL8Y9I/AAAAAAAAE7M/OZVHpZcaYlw/s72-c/pt.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MH. SELEMANI JAFO ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI WA LAPF DODOMA
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Hawa Ghasia awataka LAPF wajitangaze
10 years ago
Habarileo22 Feb
Hawa Ghasia afagilia fao la elimu la LAPF
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, amesema fao la mkopo wa elimu linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, ni msaada mkubwa kwa waajiri nchini ikiwemo Serikali.
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, azindua bodi ya wadhamini mfuko wa fidia kwa wafanyakazi, WCF
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s640/p2.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Emmanuel Humba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT_uGsvJYkM/VeqdivWSdiI/AAAAAAAAYuE/ucaZFMMm9ag/s640/p3.jpg)
Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IqUE8j0ZlNk/VeqdgyXP_pI/AAAAAAAAYt4/FyCIDolW_bg/s640/p4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tyDWKggX3eU/Veqdo6K7LsI/AAAAAAAAYuQ/7xd3z0KAHR4/s640/p5.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lPdgIirvjEI/VZO_6kPveCI/AAAAAAAC8CU/8goKMywKxQM/s72-c/20150629_093519_001.jpg)
Mfuko wa Pensheni wa LAPF WASHIRIKI Maadhimisho ya Wiki ya Serikali za Mitaa Mtwara
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K-tpVvH8QyE/VEfJY0b95oI/AAAAAAAGssY/wGNNaunROn8/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
Maadhimisho Ya Miaka 70 ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Kuanza Kesho Mjini Arusha
Akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Arusha, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. Eliud Sanga, amesema maadalizi yote ya mkutano huo, wenye kauli mbiu ya "Maadhimisho ya Miaka 70 ya Ukuaji na Huduma Bora, LAPF", yamekamilika ambapo utakwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Mfuko...
11 years ago
MichuziHATUJAWAHI KUMKOPESHA MBOWE, WALA KUWASAIDIA "SUGU" NA MSIGWA - MFUKO WA PENSHENI WA LAPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-PCwVe-nMleg/U4baEFrf2jI/AAAAAAAFmFU/LVh6qIvLR9I/s1600/download+(1).jpg)