Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFUKO WA HIFADHI YA JAMII WA LAPF WAZUNGUMZA NA WAADISHI WA HABARI MKOANI DODOMA

  Meneja masoko na mawasliano wa mfuko wa jamii wa LAPF, Bw, James Mlowe akifafanua jambo wakati alipokuwa anaongea na waandisha wa habari uliofanyika mjini Dodoma.
   Waandishi wa habari wakiwajibika katika ukumbi wa New Dodoma Hotel wakati Meneja masoko na mawasiliano wa mfuko wa jamii wa LAPF James Mlowe  alipokuwa akizungumza kuhusu maendeleo ya mfuko huo ambao unazidi kujitanua kutokana na Miradi mbalimbali ikiwemo ya majengo.Maafisa wa mfuko wa jamii wa LAPF wakiwa katika picha ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MH. SELEMANI JAFO ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI WA LAPF DODOMA

 Naibu waziri ofisi ya raisi tamisemi utumishi na utawala bora Mh Selemani  Jafo akipata maelezo kutoka kwa kaimu meneja mafao wa LAPF Bw. Amani Sindato akionyeshwa mafaili ya wanachama wanaostaafu mwezi januari 2016 lakini wameshaandaliwa mafao yao. Naibu waziri ofisi ya raisi tamisemi utumishi na utawala bora Mh Selemani  Jafo  akionyeshwa orodha ya wanachama wanaotarajia kustaafu miezi sita ijayo na Afisa mafao mwandamizi Bw. Franklin Boga. LAPF huwatambua wanachama hao mapema ili...

 

10 years ago

Michuzi

NI HAKI YAKO KULIPWA HELA YA MFUKO WA HIFADHI YA JAMII UNAPOFUKUZWA KAZI.

Image result for HIFADHI  YA  JAMII


           Na Bashir Yakub
Hela  ya  mifuko  ya  hifadhi ya jamii  ni  hela  ambayo  mwajiriwa  hukatwa  kiasi  kadhaa katika  mshahara  wake na  mwajiri  hutoa  kiasi  kadhaa  na  kuhifadhiwa  katika  mfuko uitwao  mfuko  wa hifadhi ya  jamii. Mfuko  wa  hifadhi  ya jamiii ni  kama NSSF, PSPF, LAPF, GEPF  n.k. Hii ndio  mifuko  ya  hifadhi  ya   jamii. Ipo  mifuko  ya  hifadhi  ya jamii  ambayo  huhudumia  mashirika  ya  umma  na  ipo  mingine  ambayo  huhudumia  mashirika  binafsi,...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA LAPF WATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA SHULE YA SEKONDARI DODOMA

 Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bi. Rehema Mkamba akikabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi vilivyotolewa na LAPF kwa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo. Mwalimu mkuu wa shule ya Sekondari Dodoma Ndugu Marco Masala akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya msaada wa vifaa vya ujenzi  vilivyotolewa na LAPF. Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bi. Rehema Mkamba akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya msaada wa vifaa vya ujenzi vilivyotolewa na LAPF       Baadhi ya Wanafunzi wa...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA

Mratibu wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akimkaribisha mgeni rasmi wa uzinduzi wa Kana vicoba Group Bw Aloyce Ntukamazina kwa kumueleza machache kabla ya uzinduzi rasmi, aliye katikati ni meneja wa GEPF mkoa wa kinondoni Bw Mohammed Nyallo.Mratibu wa Umoja wa Vikoba wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akelezea mafanikio na matarajio ya Umoja wa Uyacode wenye jumla ya wanachama 27,000 na ofisi katika mikoa 18 ya Tanzania Bara na mmoja wa Zanzibar Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI

Waziri wa Kazi na Ajira Mh Gaudentia Kabaka akisaini katika kitabu cha wageni katika banda la GEPF Meneja Masoko na huduma kwa wateja…

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA MH. JOEL BENDERA AZINDUA MFUKO WA AFYA YA JAMII ULIYOBORESHWA (ICHF ) MKOANI MANYARA

Mh.Mary Nagu –Waziri katika ofisi ya Raisi Mauhusiano na Uratibu na Mbunge wa Hanang akawaelimisha wananchi umuhimu wa kujiunga na CHF ILIYOBORESHWA katika siku ya uzinduzi .Kulia kwake ni Mkurugenzi wa shirika la PharmAccess kutoka Uholanzi Bw.Sicco Van Gelder ambao ndio wafadhili wa mradi huu wakishirikiana na NHIF.Mgeni rasmi wa siku ya uzinduzi wa CHF ILIYOBORESHWA mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Joel Bendera akiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Mbulu Dr.Michael Kadeghe kukabidhi moja ya...

 

10 years ago

Michuzi

SSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII

Ofisa Mwandamizi Matekelezo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bw. Frank Kilimba akifanunua jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bi. Halima Dendegu, wakati wa maonesho ya Siku ya Bahari yaliyofanyika mkoani Mtwara hivi karibuni.Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la SSRA wakichukua vipeperushi mbalimbali vya SSRA katika monyesho hayo.Maofisa wa SSRA wakitoa maelezo kuhusu shughuli mbalimbali za mamlaka hiyo, kwa wanachi waliohudhuria maonesho ya Siku ya...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF WATOA SEMINA MAALUM KWA WAMILIKI WA HOTELI NA NYUMBA ZA WAGENI (GUEST HOUSES) MKOANI DODOMA

Waziri wa Kazi na Ajira,Mh Gaudentia Kabaka akifungua rasmi semina maalum kwa wamiliki wa hoteli ya nyumba za kulala wageni wa Mkoa wa Dodoma,iliyofanyika kwenye katika ukumbi wa mikutano wa Dodoma Hotel.Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa GEPF, Bw. Daud Msangi akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi mara baada ya ufunguzi wa semina maalum kwa wamiliki wa hoteli ya nyumba za kulala wageni wa Mkoa wa Dodoma,liyofanyika kwenye katika ukumbi wa mikutano wa Dodoma Hotel.baadhi ya washiriki wa semina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani