NI HAKI YAKO KULIPWA HELA YA MFUKO WA HIFADHI YA JAMII UNAPOFUKUZWA KAZI.
Na Bashir Yakub
Hela ya mifuko ya hifadhi ya jamii ni hela ambayo mwajiriwa hukatwa kiasi kadhaa katika mshahara wake na mwajiri hutoa kiasi kadhaa na kuhifadhiwa katika mfuko uitwao mfuko wa hifadhi ya jamii. Mfuko wa hifadhi ya jamiii ni kama NSSF, PSPF, LAPF, GEPF n.k. Hii ndio mifuko ya hifadhi ya jamii. Ipo mifuko ya hifadhi ya jamii ambayo huhudumia mashirika ya umma na ipo mingine ambayo huhudumia mashirika binafsi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI
10 years ago
Mtanzania06 Oct
Zitto atwaa tuzo utetezi haki hifadhi ya jamii
![Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Zitto-Kabwe.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), ameibuka mwanasiasa wa kwanza barani Afrika kwa kutwaa Tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Umoja wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ya Nchi za Afrika Mashariki na Kati (ECASSA), ilieleza mbunge huyo aliibuka mshindi.
Zitto anatarajiwa kukabidhiwa tuzo yake hiyo katika sherehe rasmi iliyopangwa kufanyika Oktoba...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-vQpttI21ROE/VgbRTUvJI6I/AAAAAAABV-Y/gANJIfteXEU/s72-c/1.jpg)
MFUKO WA HIFADHI YA JAMII WA LAPF WAZUNGUMZA NA WAADISHI WA HABARI MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vQpttI21ROE/VgbRTUvJI6I/AAAAAAABV-Y/gANJIfteXEU/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0j_5Dh_xbKE/VgbRT1yA-4I/AAAAAAABV-c/DU3fsk8ixd8/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TbXhqZoJpcI/VgbRTxLpeTI/AAAAAAABV-o/sU1_gaJ7_MY/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r-10QRncoec/VgbRUZ8hSkI/AAAAAAABV-s/nq8H5CHdeN4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NlmQWFzQYH4/VgbRVPKySpI/AAAAAAABV-w/04PVYYWSZ2Q/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN4cL7M6kQiGqeY8HmijUtF0zK2OfIVPJUHTQsObxG9vYUSof6A9kYyGnv9yhGTpmiQJW2URO1KO8ZfJDiROASM4/ZITTO.jpg?width=450)
ZITTO KABWE ATWAA TUZO YA MTETEZI WA HAKI YA HIFADHI YA JAMII
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII TANZANIA WAJENGEWA UWEZO WA UTENDAJI KAZI.
9 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iM_20iDTJM4/VfpkbmXGzCI/AAAAAAAH5f0/26uTDN_ry7w/s72-c/download.jpg)
JITAMBUE KISHERIA UNAPOFUKUZWA KAZI KWA MAKOSA YA KINIDHAMU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iM_20iDTJM4/VfpkbmXGzCI/AAAAAAAH5f0/26uTDN_ry7w/s1600/download.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
CWT Singida yapinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida Aran Jumbe, akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za chama hicho kuhusiana na tamko la chama juu ya kupinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Chama cha Walimu CWT kimetoa tamko la kupinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII AANIKA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KWA KAYA MASIKINI ZILIZOFIKIWA NA MFUKO HUO NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ladislaus Mwamanga amesema kuwa programu ya TASAF imetekelezwa katika awamu tatu na imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali katika ngazi ya jamii kwa lengo la kupunguza umasikini kwa msingi wa kutoa huduma za jamii katika sekta zote.
Utekelezaji huo umekuwa ukizingatia mahitaji halisi au kero za wananchi wenyewe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Serikali na kwamba awamu ya kwanza ya TASAF...