Virusi vya corona: Matumizi makubwa ya nguvu za polisi na athari zake
Amri ya kutotembea usiku nchini Kenya ilivyosababisha vurugu na vifo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?
Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa serikali yake italipia garama ya maji kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo ikiwa ni jitihada za kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Marekani yaidhinisha matumizi ya dawa ya virusi ya Remdesivir
Mamlaka ya dawa na chakula nchini Marekani (FDA) imetoa ruhusa ya dharura ya dawa ya Ebola inayofahamika ama 'remdesivir' kutumika kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir
Dawa ya Remdesivir ilikuwa imevumbuliwa kukabiliana na virusi vya Ebola.
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona
Rais Trump atetea dawa ya hydroxychloroquine licha ya shirika la FDA kusema hakuna ushahidi kuwa dawa hii inatibu corona
5 years ago
BBCSwahili07 May
Kubadilika umbo kwa virusi vya corona: Fumbo kwa wanasayansi juu ya athari za virusi
Utafiti umetambua kuwa kubadilika kwa hali na umbile la virusi vya corona mbako wanasema kunaweza kusababisha virusi vya corona kuwa vya maambukizi zaidi.
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Virusi vya corona: Daktari anayewasaidia wanawake wajawazito kukabiliana na athari
Wakati serikali ya Kenya ilipotangaza amri ya kutotoka nje wakati wa usiku, wanawake wajawazito wanaohitaji usaidizi wa dharura waliathirika. Dkt Jemimah aliwasaidia.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya corona: Wanaofadhili WHO , na athari za Trump kulinyima ufadhili shirika hilo
Wingu la hofu limetanda kuhusu hatma ya shirika la afya duniani WHO kufuatia uamuzi uliochukuliwa na rais Donald Trump wa Marekani
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao
Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania