Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuwaandae kuwa wakakamavu wa mwili au akili?

Lugha inayotawala sasa kwa vijana wengi ni kukosa ajira, kukosa kazi. Na kubwa zaidi Serikali inalaumiwa kwa kuwanyima ajira vijana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hatari: Uchomaji mifuko ya plastiki hushusha kinga za mwili, huathiri akili

Maendeleo ya sayansi na teknolojia pamoja na kuongezeka kwa mahitaji ya vifungashio vya bidhaa viwandani, mauzo ya rejareja maduka na kwenye masoko, kumeongeza matumizi ya mifuko ya plastiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Vinywaji vya kusisimua akili, kutia mwili nguvu, vina athari za kiafya

Wengine, hasa madereva, hupenda kutumia vinywaji hivi ili kuondoa uchovu na kuwafanya wasipate usingizi. Hufanya hivyo ili wasisinzie na kusababisha wasababishe ajali.

 

11 years ago

Bongo5

Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna

Mpenzi wa on/off wa star wa R&B Chris Brown, Karreuche Tran amezungumzia jinsi mahusiano yake na Breezy yalivyo na changamoto nyingi hasa kutokana na ex wake hit maker wa ‘Diamonds’ Rihanna. Jina la Karreuche limekuwa katika vichwa vingi vya habari miaka ya karibuni kutokana na kuingia kwenye maisha ya star huyo. Karrueche amesema muda mwingi […]

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwaandae watoto kupokea matokeo ya mtihani

Hivi karibuni tulishuhudia matokeo ya kidato cha nne yakitangazwa na kuzigusa familia mbalimbali zikwa namna moja au nnyingine. Kama kawaida wapo wanafunzi waliotoka kifua mbele kwa kufanya vizuri, huku wengine wakiambulia patupu.

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia

“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.

 

10 years ago

Vijimambo

PITIA HIZI PICHA NA UTAKUBALI KUWA MAZOEZI NI DAWA YA MWILI



 Dulla kijana wa Kitanzania aliejengeka mwili vilivyo kutokana na mazoezi na kula chakula kwa mpangilio. Kama unavyoona Dulla akiwa Gym ndani jiji la wasiolala New York anakoishi.

 

10 years ago

Michuzi

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti wa matatizo ya akili

Watafiti nchini Uingereza wanasema, kuongezeka kwa vitendo viovu, kunaweza kuwa dalili za mwanzo za matatizo ya akili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani