Tuwaandae watoto kupokea matokeo ya mtihani
Hivi karibuni tulishuhudia matokeo ya kidato cha nne yakitangazwa na kuzigusa familia mbalimbali zikwa namna moja au nnyingine. Kama kawaida wapo wanafunzi waliotoka kifua mbele kwa kufanya vizuri, huku wengine wakiambulia patupu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5vkFo25XrAI/default.jpg)
Matokeo ya mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015
10 years ago
Michuzi06 Nov
MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014
Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZjgHPMwTw0g/VFs9FZxvRHI/AAAAAAAC9To/zmfsnS7rRG4/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B9.19.00%2BAM.png)
MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZjgHPMwTw0g/VFs9FZxvRHI/AAAAAAAC9To/zmfsnS7rRG4/s1600/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B9.19.00%2BAM.png)
ARUSHADAR ES SALAAMDODOMAIRINGAKAGERAKIGOMAKILIMANJAROLINDIMARAMBEYAMOROGOROMTWARAMWANZAPWANIRUKWARUVUMASHINYANGASINGIDATABORATANGAMANYARAGEITAKATAVINJOMBESIMIYU Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Tumewandaa vipi Watanzania kupokea matokeo?
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Wananchi waandaliwe kisaikolojia kupokea matokeo-Askofu
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tulinde Amani tunapoendelea kupokea matokeo ya Uchaguzi Mkuu
![IMG-20151027-WA0019](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/IMG-20151027-WA0019.jpg)
Ndugu watanzania wenzetu, tunapenda kuwapongeza kwa kumaliza mchakato wa kampeni za vyama vya siasa na wagombea kwa amani na utulivu. Vile vile tunawapongeza kwa kupiga kura kwa kwa amani na utulivu, kwani pamoja na kujitokeza kwa wingi tulipiga kura kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi ukiachilia mbali kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza katika zoezi hilo.
Ndugu watanzania wenzetu, tangu juzi jumapili 25 Oktoba tulianza kupokea matokeo. Hiyo ni hatua muhimu sana kwa taifa...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Taasisi ya IEP yatoa matokeo ya mtihani wa dini wa darasa la saba mwaka huu
Na Ally Daud-MAELEZO
Jopo la Elimu ya Kiislamu nchini (IEP) limetangaza matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa dini hiyo wa kuhitimu darasa la saba Agosti 12 mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa na Afisa Mwandamizi wa jopo hilo Bw. Suleimani Daud alipokuwa akiongea na Waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bw. Suleimani amesema kuwa wanafunzi ambao walifanya mtihani huo idadi yao ilikuwa 86,613 kati ya wanafunzi 93,101 waliojisajili nchini kutoka shule 3094 ambazo wanafunzi walifanya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s72-c/download.jpg)
NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s1600/download.jpg)
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSlEfiRqINs/VcIaf4sCu8I/AAAAAAAHuY8/P-uYt6sb9Pg/s72-c/image.jpg)
SHULE ZA BINAFSI ZAONGOZA MATOKEO YA MTIHANI WA UTIMILIFU (MOCK) KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KIDATO CHA NNE JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSlEfiRqINs/VcIaf4sCu8I/AAAAAAAHuY8/P-uYt6sb9Pg/s640/image.jpg)
Na Aron Msigwa -MAELEZO.MATOKEO ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wanaosoma kidato cha nne katika shule za Sekondari za jiji la Dare es salaam yametolewa leo jijini Dar es salaam yakiwa na alama za juu za ufaulu kwa wanafunzi...