Soka ni vita akili ,nguvu,nidhamu uwanjani
Soka ni mchezo ambao huchezwa kwa kutumia mbinu nyingi kwenye uwanja ambao upo mstatili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Ushirikina, nidhamu mbaya uwanjani ndiyo soka letu
Kweli inashangaza sana kusikia miaka hii bado kuna baadhi ya timu zinaendekeza mambo ya ushirikina katika kutafuta matokeo bora kwenye mashindano. Inasikitisha kwa sababu, wakati wenzetu wanasonga mbele kisayansi, sisi bado tunaendelea kujiweka kwenye mazingira ya ushirikina.
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Sudan K:Vita vyaathiri afya ya akili
Mapigano Sudan Kusini, yamesababisha raia wengi wa taifa hilo kupata magonjwa ya akili.
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Vinywaji vya kusisimua akili, kutia mwili nguvu, vina athari za kiafya
Wengine, hasa madereva, hupenda kutumia vinywaji hivi ili kuondoa uchovu na kuwafanya wasipate usingizi. Hufanya hivyo ili wasisinzie na kusababisha wasababishe ajali.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
John Barnes: Soka la akili linaumiza timu za Afrika
Wakati mashabiki wa soka barani Afrika wakiwa na matumaini kwamba moja ya timu zinazoliwakilisha bara la Afrika katika Fainali za Kombe la Dunia inaweza kufika hatua ya nusu fainali, nyota wa zamani wa Liverpool ya England, John Barnes anaamini suala la kucheza soka kwa kutumia akili ndilo linaloliumiza bara la Afrika.
11 years ago
Bongo515 Jul
Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna
Mpenzi wa on/off wa star wa R&B Chris Brown, Karreuche Tran amezungumzia jinsi mahusiano yake na Breezy yalivyo na changamoto nyingi hasa kutokana na ex wake hit maker wa ‘Diamonds’ Rihanna. Jina la Karreuche limekuwa katika vichwa vingi vya habari miaka ya karibuni kutokana na kuingia kwenye maisha ya star huyo. Karrueche amesema muda mwingi […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4dzdSaWEyXbHK2pClmRvlE3-plFQk4rM*xKthfjNJPJopHn14cY-KB0kKg6uvK4LQVLKy41iC9Hv4cHwo1-ftoZ/unfaithfulblackwoman.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-6
Kuna hoja nzito kimantiki katika mada hii. Uchambuzi na ufafanuzi wa kina, vilishajitosheleza lakini nikaona kuna maana kubwa katika kufundisha kwa mifano. Msomaji wangu Lauryn ameamua kuiweka wazi stori yake, jinsi alivyotoka kimapenzi nje ya ndoa na kijana Paul ambaye alikuwa mpangaji mwenzake. Alishaeleza mengi huko nyuma, lakini wiki iliyopita aliishia hapa: “Sisemi uongo, siku hiyo ndiyo nilikuwa napokea kwa mara ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsHbES4RtwloZWM3QLO75p5Q0WDJy-GLyyAqLT-FCXt7wd0xrX5XbhCiw*GwdpDm9oT638n0-CB91ADchd6xw*ou/lv.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-10
“Nilikwenda kufungua mlango, kumbe alikuwa mume wangu. Kwa kiasi fulani nilishtuka, maana kwa muda huo sikumtarajia kabisa. Hata yeye aliutambua mshtuko wangu, akaniuliza mbona nimeshtuka? Kabla sijajibu akaniuliza nimeanza lini tabia ya kufunga mlango mkubwa mchana? “Nilimjibu mshtuko wangu ni kwa sababu sikumtarajia muda huo nyumbani. Kuhusu mlango nilimwambia niliufunga ili majirani waone hakuna mtu. Kama ambavyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N7R2o2Q*R1r*OAaq1FFWDxhwSkZKnDDIs8u33ltmg799xikQ5RWUjL81GriNvUClBf8dG17sVaTNGVXnDzAaku9/usaliti.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-5
Makala yetu inajieleza kwa kichwa chake hapo juu. Nilishafafanua kinagaubaga jinsi ambavyo usaliti usivyo na nguvu, isipokuwa akili iliyokosa malengo ndiyo inaweza kutenda dhambi hiyo. Katika kufundisha kwa mifano, nakuletea mfululizo wa mkasa wa Lauryn ambaye ni mke wa mtu, alipojikuta anasaliti ndoa yake kwa kutoka kimapenzi na kijana Paul ambaye ni mpangaji mwenzake. Nikukumbushe alipokomea hapa; “Nilipotoka chumbani kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcnN7G-MbQdfj3FxH6s*eu6B2moJba6zvdL7EhH-boN2ByIqDacH8ZGZ05iBUyw2Y2imeRobcMaDXdUnkDyWsZAm/xlov.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-7
Mkasa wa Lauryn (si jina lake halisi), ni somo kwako namna mtu anavyoweza kusaliti ndoa. Mara nyingi tego la usaliti huanza taratibu kama utani, ukiliruhusu hutawala na kukutesa kihisia, usipoyashinda hayo mateso hujikuta unaangukia dhambini. Lauryn aliisababishia ndoa yake misukosuko mingi. Kosa kubwa alilolifanya ni kutoka kimapenzi na kijana Paul aliyekuwa mpangaji mwenzake. Katika mfululizo wa simulizi yake, anaelezea jinsi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania