Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Barnes: Soka la akili linaumiza timu za Afrika

Wakati mashabiki wa soka barani Afrika wakiwa na matumaini kwamba moja ya timu zinazoliwakilisha bara la Afrika katika Fainali za Kombe la Dunia inaweza kufika hatua ya nusu fainali, nyota wa zamani wa Liverpool ya England, John Barnes anaamini suala la kucheza soka kwa kutumia akili ndilo linaloliumiza bara la Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mirror Online

John Barnes rated better than Sadio Mane by ex-Liverpool star

John Barnes rated better than Sadio Mane by ex-Liverpool star  Mirror OnlineWatch: Liverpool squad sing happy birthday to Sadio Mane in group call  PlanetFootballWatch: Reds celebrate Sadio Mane's birthday on Zoom  Liverpool FCWhy huge personality difference means Liverpool have a global icon and a 'simple person' in attack  Liverpool.com‘Mane’s great but Barnes was better’ – Liverpool legend was a ‘lights out’ talent, says Nicol  Goal IndiaView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Mwananchi

Soka ni vita akili ,nguvu,nidhamu uwanjani

Soka ni mchezo ambao huchezwa kwa kutumia mbinu nyingi kwenye uwanja ambao upo mstatili.

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Benki ya NBC waipiga jeki timu ya watoto wenye ulemavu wa akili Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kulia) akipokea  msaada wa sh milioni mbili kutoka kwa Meneja wa NBC tawi la Zanzibar, Rajab Maalim (kushoto) zilizochangwa na wafanyakazi wa benki hiyo kwa ajili ya timu ya watoto wenye  ulemavu wa akili watakaoshiriki michezo ya olimpiki maalumu inayotarajiwa kuanza Juni 6 mwaka huu Wilayani Kibaha katika Mkoa wa Pwani. makabidhiano yalifanyika kwenye ofisi za makamu wa rais, Vuga, Zanzibar jana  Makamu wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Timu ya soka ya Kenya kwenda Brazil

Sio kushiriki mechi yoyote bali kutazama michuano ya kombe la dunia. Ni zawadi waliyopokea kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu ya soka la ukweni kuelekea Misri

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni inatarajiwa kuondoka , kuelekea jijini Cairo nchini Misri.

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yamaliza mgogoro wa timu ya soka ya Shinyanga Stand United

un2
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na hatua zilizofikia katika kutatiua mgogoro baina ya Timu ya Stand Unite ya mjini Shinyanga na kamati ya uendeshaji ya timu hiyo iliyopo chini ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo jijini Dar es Salaam.Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,WHUSM.un1Baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji ya timu ya Stand United ya mjini Shinyanga wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Habaroi,...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki mabingwa wa kombe la UVCCM

DSC00756

Mlezi wa jumuiya ya wazazi (CCM)  wilaya ya Ikungi, Elibariki Kingu akizumgumza na wapenzi wa soka na wachezaji muda mfupi kabla ya kuanza kwa mechi ya fainali kati ya timu ya soka ya kata ya Irisya na Mkiwa, uliofanyika katika uwanja wa shule ya sekondari ya kata ya Ikungi.

Na Nathaniel  Limu, Ikungi

TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki,imetawazwa kuwa mabingwa wa kombe la UVCCM wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kwa kipindi cha mwaka 2014/2015, baada ya kuichapa timu ya...

 

10 years ago

Michuzi

DRFA yawataka mashabiki wa soka kujitokeza kwa wingi kuzishangilia timu za Dar

Uongozi wa chama  cha soka mkoa wa Dar es salaam, DRFA,umewaomba,mashabiki na wote wenye mapenzi mema ya kandanda,kujitokeza kwa wingi kuzishangilia timu za Dar es salaam zinazoshiriki ligi kuu,Daraja la kwanza na michuano ya taifa Cup wanawake ,ili kutoa hamasa kwa wachezaji.
Leo (januari 28) kutakuwa na mchezo mmoja wa ligi kuu kwa timu ya Simba ya Dar es salaam dhidi ya Mbeya City ya Mbeya,mchezo ambao utakaopigwa katika uwanja wa taifa jijini.
Itakumbukwa kwamba katika mechi mbili za ligi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani