Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan K:Vita vyaathiri afya ya akili

Mapigano Sudan Kusini, yamesababisha raia wengi wa taifa hilo kupata magonjwa ya akili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Soka ni vita akili ,nguvu,nidhamu uwanjani

Soka ni mchezo ambao huchezwa kwa kutumia mbinu nyingi kwenye uwanja ambao upo mstatili.

 

11 years ago

Bongo5

Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna

Mpenzi wa on/off wa star wa R&B Chris Brown, Karreuche Tran amezungumzia jinsi mahusiano yake na Breezy yalivyo na changamoto nyingi hasa kutokana na ex wake hit maker wa ‘Diamonds’ Rihanna. Jina la Karreuche limekuwa katika vichwa vingi vya habari miaka ya karibuni kutokana na kuingia kwenye maisha ya star huyo. Karrueche amesema muda mwingi […]

 

11 years ago

Habarileo

Mwakilishi adai Afya wametelekeza wagonjwa wa akili

MWAKILISHI wa jimbo la Muyuni, Jaku Hashim Ayoub (CCM) ametishia kuzuia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa madai kwamba imeshindwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuwatelekeza wagonjwa wa akili.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuchapa watoto huathiri afya, uwezo wao wa akili

Je, mwanafunzi anachapwa viboko ili kumjenga kitabia au kumuathiri uwezo wake wa kumudu elimu anayopatiwa?

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MTANDAO WA WANAWAKE LAWAELIMISHA WANANCHI NAMNA YA KUIMARISHA AFYA YA AKILI

 Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof. Joseph Mbatia akizungumza juu ya kula vyakula vyenye lishe bora na kunywa maji ya kutosha kufanya mazoezi ya viungo angalau mara tatu kwa wiki, (kujali afya kila siku kujitambua na epuka vitu vinavyoathiri afya yako) ikiwa ni siku ya pili ya muendelezo wa Tamasha la  mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof.Joseph...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi ya kuimarisha afya yako ya akili wakati wa marufuku ya kutotoka nje

Taarifa za mara kwa mara kuhusu janga la coronavirus linavyowaathiri ulimwengu zimesababisha baadhi ya watu kuwa na hofu

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona

Ushauri wa kulinda afya ya akili wakati huu wa mlipuko wa virusi corona.

 

11 years ago

Habarileo

Madanguro, ‘gesti’ vyaathiri watoto

UKATILI, udhalilishaji na ukiukaji wa haki za mtoto, ikiwemo tabia ya wazazi au walezi kuwatuma watoto vileo na kwenda nao kumbi za starehe vinadaiwa kukithiri hali ambayo Serikali imeshauriwa kuchukua hatua kuvidhibiti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Usitishwaji vita watangazwa Sudan.K

Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar ametangaza usitishwaji vita wa kudumu kuanzia usiku wa manane hii leo Jumamosi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani