Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakilishi adai Afya wametelekeza wagonjwa wa akili

MWAKILISHI wa jimbo la Muyuni, Jaku Hashim Ayoub (CCM) ametishia kuzuia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa madai kwamba imeshindwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuwatelekeza wagonjwa wa akili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kumbe waongo ni wagonjwa wa akili?

Katika mihangaiko yangu ya kila siku nimekutana na watu waongo, yaani wanapenda kudanganya kiasi kwamba hata wao wenyewe huwa wanajiongopea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washauriwa kuwafikisha wagonjwa wa akili hospitalini

WATANZANIA wanaoishi na wagonjwa wenye matatizo ya  akili wametakiwa kuwafikisha hospitali mapema wagonjwa hao kutokana na ugonjwa huo kutibika. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa...

 

10 years ago

Habarileo

Wagonjwa wa akili waonesha bidhaa Nanenane

WAKATI tatizo la ajira likiendelea kuisumbua jamii hasa vijana, wagonjwa wa akili katika hospitali ya Mirembe mjini hapa wengi wao wakiwa vijana wamekuwa wakifanya kazi za mikono wakitengeneza bidhaa mbalimbali zinazouzwa kwenye maonesho.

 

11 years ago

Habarileo

Wataka dawa za wagonjwa wa akili zitolewe bure

SERIKALI imeombwa kuweka dawa zote zinazohitajika kwa wagonjwa wa afya ya akili kwenye mpango maalumu wa kitaifa na kutolewa bure kama ambavyo dawa za VVU na kifua kikuu zinatolewa.

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA WAGONJWA WA MARADHI YA KIPIDUPINDU KATIKA KITUO CHA AFYA KARAKANA



 Baadhi ya Wagonja walifikishwa Hospitali hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu  baada ya kupata maradhi ya matumbo ya kuharisha (kipindupindu). Mwandishi wa Habari Rahma Suleiman akichukua maelezo kwa Mgonjwa aliyefika katika kituo hicho mara baada ya kupata hujambo. Naibu Waziri wa Afya  Mahmoudu Thabiti Kombo akionyesha ramani ya maeneo yanayoathiriwa zaidi na ugonjwa wa maradhi ya matumbo.Naibu Waziri wa  Afya  Mahmoudu Thabiti  Kombo akipata maelezo kwa Dkt. Dhamana  Fadhili Ramadhan...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan K:Vita vyaathiri afya ya akili

Mapigano Sudan Kusini, yamesababisha raia wengi wa taifa hilo kupata magonjwa ya akili.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuchapa watoto huathiri afya, uwezo wao wa akili

Je, mwanafunzi anachapwa viboko ili kumjenga kitabia au kumuathiri uwezo wake wa kumudu elimu anayopatiwa?

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MTANDAO WA WANAWAKE LAWAELIMISHA WANANCHI NAMNA YA KUIMARISHA AFYA YA AKILI

 Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof. Joseph Mbatia akizungumza juu ya kula vyakula vyenye lishe bora na kunywa maji ya kutosha kufanya mazoezi ya viungo angalau mara tatu kwa wiki, (kujali afya kila siku kujitambua na epuka vitu vinavyoathiri afya yako) ikiwa ni siku ya pili ya muendelezo wa Tamasha la  mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof.Joseph...

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif akutana na Balozi wa Kuwait pamoja na mwakilishi wa shirika la afya duniani (WHO) nchini

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Ibrahim Al- Najem, ofisini kwake Migombani. Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Ibrahim Al- Najem, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ofisini kwake Migombani. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiongozana na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Ibrahim Al- Najem, baada ya mazungumzo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani