Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka dawa za wagonjwa wa akili zitolewe bure

SERIKALI imeombwa kuweka dawa zote zinazohitajika kwa wagonjwa wa afya ya akili kwenye mpango maalumu wa kitaifa na kutolewa bure kama ambavyo dawa za VVU na kifua kikuu zinatolewa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kumbe waongo ni wagonjwa wa akili?

Katika mihangaiko yangu ya kila siku nimekutana na watu waongo, yaani wanapenda kudanganya kiasi kwamba hata wao wenyewe huwa wanajiongopea.

 

10 years ago

Habarileo

Wagonjwa wa akili waonesha bidhaa Nanenane

WAKATI tatizo la ajira likiendelea kuisumbua jamii hasa vijana, wagonjwa wa akili katika hospitali ya Mirembe mjini hapa wengi wao wakiwa vijana wamekuwa wakifanya kazi za mikono wakitengeneza bidhaa mbalimbali zinazouzwa kwenye maonesho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washauriwa kuwafikisha wagonjwa wa akili hospitalini

WATANZANIA wanaoishi na wagonjwa wenye matatizo ya  akili wametakiwa kuwafikisha hospitali mapema wagonjwa hao kutokana na ugonjwa huo kutibika. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mwakilishi adai Afya wametelekeza wagonjwa wa akili

MWAKILISHI wa jimbo la Muyuni, Jaku Hashim Ayoub (CCM) ametishia kuzuia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa madai kwamba imeshindwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuwatelekeza wagonjwa wa akili.

 

10 years ago

Habarileo

Wataka NHIF igharamie nauli za wagonjwa

BAADHI ya wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wametaka kuongezwa kwa huduma za malipo ya nauli na posho kwa wanachama wanaokwenda kwenye matibabu ya rufaa nje ya vituo vyao, sambamba na kugharamia upimaji wa vinasaba (DNA).

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali kutoa dawa za kisukari bure’

SERIKALI imesema itajitahidi kutenga fedha katika bajeti yake, ambazo zitatumika kununua dawa za maradhi ya kisukari itakazozigawa bure kwa wagonjwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Waziri...

 

5 years ago

Michuzi

DK. ZAINAB CHAULA: MSD MSIKUBALI KUTOA DAWA BURE

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Dk. Zainab Chaula akizungumza na Julieth Mselle Afisa Huduma kwa wateja kutoka MSD wakati alipotembelea katika banda la taasisi hiyo katika Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Tanzania ukumbi wa Julius Nyerere Posta. jijini Dar es salaamKatibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Dk. Zainab Chaula akimsikiliza Julieth Mselle Afisa Huduma kwa wateja kutoka MSD wakati alipotembelea katika banda la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Dawa ya Dexamethasone kusaidia wagonjwa wa Corona.

Wataalam wa afya wasema dawa aina ya Dexamethasone ,inaweza kusaidia maisha ya wagonjwa wa virusi vya corona walio mahututi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo

Lishe asili na chakula ambacho hakijapitia viwandani inaimarisha siha yawagonjwa waliopatwa na mshtuko wa moyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani