‘Serikali kutoa dawa za kisukari bure’
SERIKALI imesema itajitahidi kutenga fedha katika bajeti yake, ambazo zitatumika kununua dawa za maradhi ya kisukari itakazozigawa bure kwa wagonjwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1reAM5zdgJ0/Xk-Ujs8DBpI/AAAAAAALeqA/C1rPVMT_XgkFsrtuAgXEfXTTMqP-mStmQCLcBGAsYHQ/s72-c/bo6.jpg)
DK. ZAINAB CHAULA: MSD MSIKUBALI KUTOA DAWA BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1reAM5zdgJ0/Xk-Ujs8DBpI/AAAAAAALeqA/C1rPVMT_XgkFsrtuAgXEfXTTMqP-mStmQCLcBGAsYHQ/s640/bo6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/bo5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s72-c/pho.jpg)
SERIKALI YA ZANZIBAR YAENDELEA KUTOA ELIMU BURE KWA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s1600/pho.jpg)
LICHA ya kupanda kwa gharama za uendeshaji wa sekta ya elimu hapa Zanzibar na duniani kote, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa bure kwa watoto wa Zanzibar kama ilivyotangazwa na Marehemu Mzee Abeid...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13-768x589.jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s640/1-13-768x589.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-1-1-1024x683.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
9 years ago
StarTV23 Nov
Vijana walioathirika na Dawa Za Kulevya waishauri Serikali kutoa elimu
Vijana walioathirika na dawa za Kulevya nchini wameishauri Serikali ianze kutoa elimu ya kutambua athari ya utumiaji wa dawa hizo ili kukabiliana na athari ambayo inaweza kujitokeza hapo baadae na kupoteza nguvu kazi ya Taifa.
Ushauri huo umetolewa na Vijana waliojitambua baada ya kutumia dawa za kulevya kwa muda mrefu ambazo zilisababisha baadhi yao kupoteza masomo, kazi na kutengwa na jamii.
Frank John ni Mkurugenzi wa kituo cha Ties that Bind Recovery ambaye pia ni muathirika wa dawa...
10 years ago
VijimamboMadaktari Diaspora Wakiondoka Zanzibar baada ya Kumaliza Zoezi la Kutoa Huduma ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Meno.
10 years ago
Habarileo13 Jan
SMZ kutoa elimu bure
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imefuta ada ya wanafunzi wa shule za msingi, ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya mapinduzi ya kuwapatia wanafunzi wote elimu bure, kama ilivyoasisiwa na Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amaan Karume.
11 years ago
Habarileo28 Mar
Wataka dawa za wagonjwa wa akili zitolewe bure
SERIKALI imeombwa kuweka dawa zote zinazohitajika kwa wagonjwa wa afya ya akili kwenye mpango maalumu wa kitaifa na kutolewa bure kama ambavyo dawa za VVU na kifua kikuu zinatolewa.