Kumbe waongo ni wagonjwa wa akili?
Katika mihangaiko yangu ya kila siku nimekutana na watu waongo, yaani wanapenda kudanganya kiasi kwamba hata wao wenyewe huwa wanajiongopea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Aug
Wagonjwa wa akili waonesha bidhaa Nanenane
WAKATI tatizo la ajira likiendelea kuisumbua jamii hasa vijana, wagonjwa wa akili katika hospitali ya Mirembe mjini hapa wengi wao wakiwa vijana wamekuwa wakifanya kazi za mikono wakitengeneza bidhaa mbalimbali zinazouzwa kwenye maonesho.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Washauriwa kuwafikisha wagonjwa wa akili hospitalini
WATANZANIA wanaoishi na wagonjwa wenye matatizo ya akili wametakiwa kuwafikisha hospitali mapema wagonjwa hao kutokana na ugonjwa huo kutibika. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa...
11 years ago
Habarileo28 Mar
Wataka dawa za wagonjwa wa akili zitolewe bure
SERIKALI imeombwa kuweka dawa zote zinazohitajika kwa wagonjwa wa afya ya akili kwenye mpango maalumu wa kitaifa na kutolewa bure kama ambavyo dawa za VVU na kifua kikuu zinatolewa.
11 years ago
Habarileo07 Jun
Mwakilishi adai Afya wametelekeza wagonjwa wa akili
MWAKILISHI wa jimbo la Muyuni, Jaku Hashim Ayoub (CCM) ametishia kuzuia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa madai kwamba imeshindwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuwatelekeza wagonjwa wa akili.
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Wajumbe waongo kukiona
11 years ago
Habarileo29 Apr
‘Msidanganyike na wanasiasa waongo’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Paulo Makonda ametaka wananchi nchini kutodanganywa na baadhi ya wanasiasa wanaotumia ajenda ya Katiba, bali wawaeleze changamoto zinazowakabili, ikiwa ni pamoja na zile walizowaahidi wananchi kuzitekeleza.
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Waongo Bunge la Katiba wadhibitiwe