Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbe waongo ni wagonjwa wa akili?

Katika mihangaiko yangu ya kila siku nimekutana na watu waongo, yaani wanapenda kudanganya kiasi kwamba hata wao wenyewe huwa wanajiongopea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wagonjwa wa akili waonesha bidhaa Nanenane

WAKATI tatizo la ajira likiendelea kuisumbua jamii hasa vijana, wagonjwa wa akili katika hospitali ya Mirembe mjini hapa wengi wao wakiwa vijana wamekuwa wakifanya kazi za mikono wakitengeneza bidhaa mbalimbali zinazouzwa kwenye maonesho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washauriwa kuwafikisha wagonjwa wa akili hospitalini

WATANZANIA wanaoishi na wagonjwa wenye matatizo ya  akili wametakiwa kuwafikisha hospitali mapema wagonjwa hao kutokana na ugonjwa huo kutibika. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka dawa za wagonjwa wa akili zitolewe bure

SERIKALI imeombwa kuweka dawa zote zinazohitajika kwa wagonjwa wa afya ya akili kwenye mpango maalumu wa kitaifa na kutolewa bure kama ambavyo dawa za VVU na kifua kikuu zinatolewa.

 

11 years ago

Habarileo

Mwakilishi adai Afya wametelekeza wagonjwa wa akili

MWAKILISHI wa jimbo la Muyuni, Jaku Hashim Ayoub (CCM) ametishia kuzuia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa madai kwamba imeshindwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuwatelekeza wagonjwa wa akili.

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia

“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe waongo kukiona

>Rasimu ya Kanuni za Uendeshaji wa Bunge la Katiba, zinawabana wajumbe wa bunge hilo na sasa atakayebainika kusema uongo anaweza kupewa adhabu ya kutokuhudhuria vikao visivyozidi vitatu.

 

11 years ago

Habarileo

‘Msidanganyike na wanasiasa waongo’

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Paulo Makonda ametaka wananchi nchini kutodanganywa na baadhi ya wanasiasa wanaotumia ajenda ya Katiba, bali wawaeleze changamoto zinazowakabili, ikiwa ni pamoja na zile walizowaahidi wananchi kuzitekeleza.

 

11 years ago

Mwananchi

Waongo Bunge la Katiba wadhibitiwe

Kila mara mjumbe wa Bunge la Katiba anapoonekana kutoa maneno yanayodhaniwa kuwa ni ya uongo, hasa kuhusu mmoja au kundi la wajumbe wa Bunge hilo, mwenyekiti huombwa kutoa mwongozo ili huyo anayesema aweze kuthibitisha madai yake au kudhibitiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani