Usitishwaji vita watangazwa Sudan.K
Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar ametangaza usitishwaji vita wa kudumu kuanzia usiku wa manane hii leo Jumamosi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo25 Nov
Usitishwaji sherehe uhuru wapongezwa
UTENDAJI wa Rais John Magufuli unaendelea kuwavutia watu wengi na hatua yake ya kufuta shamrashamra za sikukuu ya Uhuru, imepongezwa kuwa itaokoa fedha za walipa kodi, huku watendaji wa serikali wakianza kutekeleza agizo la kufanya usafi siku hiyo ili kukabiliana na kipindupindu.
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
UN: Vita visitishwe Sudan Kusini
Mkuu wa vikosi vya kulinda amani vya UN, Sudan Kusini, ametoa wito wa kusitishwa kwa mapigano nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Ni vigumu kusitishwa vita Sudan K.
Msemaji wa Jeshi amesema kuna matumaini madogo ya kusitishwa kwa mapigano nchini Sudan Kusini kwa sasa.
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Vita na maziko ya pamoja Bor,Sudan-K
Mapigano yameripotiwa kuzuka mjini Bor huku shughuli za kuwazika pamoja watu waliouawa katika vita zikianza
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Waenda kujifunza athari za vita Sudan
CCM, ambayo inaratibu mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini, itapeleka waandishi wa habari nchini humo ili kuona athari za vita.
11 years ago
BBCSwahili12 May
Vita vyazuka tena Sudan Kusini
Pande zote katika mzozo wa Sudan Kusini zalaumiana kwa kuibuka upya kwa vita
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Vita vyazuka tena Malakal, Sudan.K
Mapigano yameripotiwa kuzuka Sudan Kusini kwa mara ya kwanza tangu serikali na waasi kutia saini makubaliano ya kusitisha vita mwezi Januari.
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Maelfu wakimbia vita Sudan Kusini
Takriban Watu 1,000 wameuawa katika mapigano nchini humo na takriban wengine 200,000 wakikimbia mapigano kati ya Jamii ya Dinka na Nuer.
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Sudan K:Vita vyaathiri afya ya akili
Mapigano Sudan Kusini, yamesababisha raia wengi wa taifa hilo kupata magonjwa ya akili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania