Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita na maziko ya pamoja Bor,Sudan-K

Mapigano yameripotiwa kuzuka mjini Bor huku shughuli za kuwazika pamoja watu waliouawa katika vita zikianza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mamia wakimbia vita Bor

Wakaazi wa mji wa Bor nchini Sudan Kusini wanaendelea kuukimbia mji huo wakihofia maisha yao.

 

11 years ago

BBC

South Sudan: Under attack outside Bor

Witnessing ambushes and the death of general in South Sudan

 

11 years ago

BBCSwahili

Jenerali wa Sudan Kusini auwawa Bor.

Mapigano makali yamezuka nje ya mji mkuu wa Sudan Kusini wa Bor na Jenerali mmoja wa jeshi la Sudan Kusini ameuwawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utulivu warejea huko Bor Sudan Kusini

Jeshi la Sudan Kusini limesema kuwa hali imetulia katika mji wa Bor ,siku mbili baada ya takriban watu 48 kuuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi Sudan Kusini washikilia mji wa Bor

Waasi Sudan Kusini wametwaa mji wa Bor uliopo kilimita 200 kaskazini mwa mji mkuu Juba

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ujangili ni vita ya pamoja’

Jumuiya ya kimataifa imepitisha Azimio la Arusha lenye lengo la kukabiliana na ujangili na kuendeleza wanyama.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ATAKA VITA DHIDI YA UJANGILI IWE YA PAMOJA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na zilizo Kusini mwa Ikweta.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jioni (Jumamosi, Novemba 8, 2014) mara baada ya kufunga mkutano wa kikanda wa siku mbili uliojadili mbinu za kupambana na biashara haramu ya wanyamapori ulioandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Arusha,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Usitishwaji vita watangazwa Sudan.K

Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar ametangaza usitishwaji vita wa kudumu kuanzia usiku wa manane hii leo Jumamosi

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni vigumu kusitishwa vita Sudan K.

Msemaji wa Jeshi amesema kuna matumaini madogo ya kusitishwa kwa mapigano nchini Sudan Kusini kwa sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani