Ndingi Mwana a'Nzeki: Askofu aliyekiri kusema uongo mara moja azikwa Kenya
Askofu Ndingi Mwana a'Nzeki, ambaye amefariki akiwa na miaka 89 amezikwa leo Jumanne jijini Nairobi baada ya kuishi maisha marefu yenye kumbukumbu tele ikiwemo za kupambania haki na Amani nchini Kenya.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania