Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana wakimbilia dawa za kutunisha misuli

>Pengine  ni katika harakati za kuutafuta utanashati  au  ukosefu wa ajira,  na huenda ikawa ni mtindo wa kimaisha kwa vijana wengi hapa nchini na duniani kote wanaotunisha misuli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nauman bingwa kutunisha misuli

MUHAMMAD Nauman, ametangazwa kuwa bingwa wa michuano ya kutunisha misuli iliyofanyika kwa mara ya kwanza nchini toka mwaka 2002 katika Ukumbi wa AT Pj uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,...

 

10 years ago

GPL

OMARY ABDALLAH BINGWA WA KUTUNISHA MISULI

Omary Abdallah, mshindi wa Body Building Champions 2014. Mshindi wa pili, Erick Majura akiwa katika pozi.…

 

9 years ago

Vijimambo

MASHINDANO YA KUTUNISHA MISULI KUFANYIKA AGOSTI 29, 2015 JIJINI DAR

Washindi wa mwaka jana wa Mashindano ya kutunisha misuli (The Most Musicular Man Tanzania 2014) wa kwanza kutoka kushoto ni msindi wa pili, Omary Lyombe, mshindi wa kwanza Mohamed Nouma (katikati) na mshindi wa tatu, Erick Majura wakionyesha utunishaji misuli wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Gymkana jijini Dar es Salaam leo. Mbele yao (walioketi) ni waandaaji pamoja na wadhamini wa shindano hilo. Mratibu wa mashindano ya kutunisha misuli, Mohamed Ali akionyesha kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Farah:Sijatumia dawa za kusisimua misuli

Mo Farah anasema kuwa hajawahi kutumia dawa za kusisimua misuli ,baada ya madai ya utumizi wa dawa hizo kumkabili kocha wake Alberto Salazar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Dawa za kusisimua misuli zaponza Watu 90

Zaidi ya Watu tisini wakamatwa wakijihusisha na boiashara ya Dawa za kusisismua misuli nchini Marekani

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yakiri tatizo la dawa za kusisimua misuli

Riadha ya Urusi ina tatizo na utumizi wa dawa za kulevya,lakini marufuku ya kutoshiriki katika michezo ya Olimpiki itawaadhibu wanariadha wasiotumia dawa hizo kulingana na katibu mkuu wa shirikisho la riadha nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli

Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa za kulevya zazidi kuwatesa vijana

Kwa miaka mingi vita dhidi ya mihadarati nchini Kenya imeendelea,wanaoathirika zaidi ni vijana,taarifa zaidi na John Nene

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Tuwalinde vijana na dawa za kulevya

Mizengo-PindaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewaomba viongozi wa dini nchini waitumie mikutano yao ya mahubiri kutoa elimu juu ya athari za dawa za kulevya kwa waumini wao na Watanzania wote kwa ujumla.
Wito huo ameutoa jana Dar es Salaaam, alipokuwa akizungumza na viongozi na waumini wa Kanisa la Moravian Tanzania kwenye ibada ya uzinduzi wa Jimbo la Mashariki la kanisa hilo uliofanyika makao makuu ya jimbo hilo, Mbagala Chamazi.
“Niwaombe sasa viongozi wa dini tuungane na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani