Nauman bingwa kutunisha misuli
MUHAMMAD Nauman, ametangazwa kuwa bingwa wa michuano ya kutunisha misuli iliyofanyika kwa mara ya kwanza nchini toka mwaka 2002 katika Ukumbi wa AT Pj uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLOMARY ABDALLAH BINGWA WA KUTUNISHA MISULI
11 years ago
Mwananchi10 May
Vijana wakimbilia dawa za kutunisha misuli
9 years ago
VijimamboMASHINDANO YA KUTUNISHA MISULI KUFANYIKA AGOSTI 29, 2015 JIJINI DAR
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Orijino Komedi kutunisha mfuko wa Imetosha Foundation
NA MWANDISHI WETU
USHIRIKIANO wa Imetosha Foundation na Orijino Komedi, unatarajia kutoa burudani ya vichekesho vyenye lengo ya kuchangisha fedha za ujenzi wa kituo kitakachoendesha shughuli za ujasiriamali kwa watu wenye ualbino.
Burudani hiyo kwa ajili ya kuchangia kituo hicho kitakachoitwa Santa Lucia ambacho kitajengwa huko Bumbuli Lushoto mkoani Tanga, itafanyika Septemba 11 katika usiku maalumu uliopewa jina la Ucheshi na muziki katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s72-c/zitto-kabwe-11.jpg)
Zitto aitunishia misuli CHADEMA
Ofisi ya Bunge, NEC zaikana CHADEMADk. Kitilla: Upinzani unaua demokrasia
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hatambui kufukuzwa uanachama wala ubunge wake na kwamba, ataendelea na majukumu ya kuwatumikia wananchi wake kama kawaida.
![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s1600/zitto-kabwe-11.jpg)
Hata hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Bunge, zimesema hazijapokea barua wala taarifa kutoka CHADEMA za kumvua uanachama mbunge huyo.
Aidha, baadhi ya wanasiasa akiwemo Profesa Kitila Mkumbo, wameponda uamuzi unaofanywa...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Italy na England watunishiana misuli
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Bella, Alikiba ‘watunishiana’ misuli