Italy na England watunishiana misuli
Mchezo wa Italy na England umekosa mbabe baada ya kushindwa kupatikana mshindi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Bella, Alikiba ‘watunishiana’ misuli
Christian Bella anasifika kwa kuwa na tungo makini na sauti nzuri yenye matamshi mwanana ilhali Alikiba ni maarufu kwa tungo na sauti inayowavutia wengi. Itakuwaje wawili hawa wakikutana pamoja?
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Chadema, Polisi watunishiana misuli.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Paulo-14April2015.jpg)
Maandamano hayo yameandaliwa kwa ajili ya kushinikiza kutolewa kwa taarifa za matumizi ya Sh. milioni 720 za mradi wa ujenzi wa stendi ya mabasi ya Msamvu.
Wiki iliyopita Chadema kupitia kwa Mwenyekiti wake wa Wilaya ya Morogoro, James Mkude, kilitangaza kufanya maandamano hayo hadi katika...
10 years ago
Vijimambo07 Mar
MAAFA YA MAFURIKO KAHAMA: DC, Mwenyekiti CCM watunishiana misuli
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mgeja-march7-2015.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja, jana alimkemea mbele ya waathirika wa mvua ya mawe na upepo, Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, kwa kushindwa kuwajibika na kuwasababishia watu hao kukosa chakula.
Zaidi ya waathirika 250 waliopata hifadhi katika Shule ya Msingi Mwakata wilayani hapa, walishinda njaa licha ya chakula cha msaada kuwamo ndani ya darasa, lakini walishindwa kupewa...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlk8yqtM5mv04011z8c4fiuiNjinx*LAGcYhCBkygaMQLH8M22ItgF8MPL5tdn4oF1tob3Tg66iEEC8TJBOaIA8/article26573901EBF352B00000578670_636x382.jpg?width=650)
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
AADA ya Fainali za Kombe la Dunia kuanza juzi kwa mchezo kati ya Brazil na Croatia, leo kuna mechi nyingine kali kati ya England na Italia. Huu ni mchezo ambao mashabiki wa soka wanausubiri kwa hamu kubwa wakiamini pia utatumika kutoa majibu halisi ya fainali hizo zinazofanyika nchini Brazil.
England na Italia ni nchi ambazo ligi zake ni maarufu sana, huku zikiwa zinafuatiliwa kwa karibu sana na mashabiki wa soka duniani kote. ...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-oBf6s-48sts/VoxcdBDvnfI/AAAAAAAAEZk/muLjmu2JYOc/s72-c/rooney-537054.jpg)
SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-oBf6s-48sts/VoxcdBDvnfI/AAAAAAAAEZk/muLjmu2JYOc/s1600/rooney-537054.jpg)
11 years ago
BBCSwahili21 May
Mwanaridha aliyekiri kusisimua misuli
Mwanariadha mkenya anayeshiriki mbio za kimataifa Matthew Kisorio afichua jinsi alivyotumia dawa za kuongeza nguvu
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s72-c/zitto-kabwe-11.jpg)
Zitto aitunishia misuli CHADEMA
Ofisi ya Bunge, NEC zaikana CHADEMADk. Kitilla: Upinzani unaua demokrasia
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hatambui kufukuzwa uanachama wala ubunge wake na kwamba, ataendelea na majukumu ya kuwatumikia wananchi wake kama kawaida.
![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s1600/zitto-kabwe-11.jpg)
Hata hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Bunge, zimesema hazijapokea barua wala taarifa kutoka CHADEMA za kumvua uanachama mbunge huyo.
Aidha, baadhi ya wanasiasa akiwemo Profesa Kitila Mkumbo, wameponda uamuzi unaofanywa...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Nauman bingwa kutunisha misuli
MUHAMMAD Nauman, ametangazwa kuwa bingwa wa michuano ya kutunisha misuli iliyofanyika kwa mara ya kwanza nchini toka mwaka 2002 katika Ukumbi wa AT Pj uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania