MAAFA YA MAFURIKO KAHAMA: DC, Mwenyekiti CCM watunishiana misuli
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja, jana alimkemea mbele ya waathirika wa mvua ya mawe na upepo, Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, kwa kushindwa kuwajibika na kuwasababishia watu hao kukosa chakula.
Zaidi ya waathirika 250 waliopata hifadhi katika Shule ya Msingi Mwakata wilayani hapa, walishinda njaa licha ya chakula cha msaada kuwamo ndani ya darasa, lakini walishindwa kupewa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Bella, Alikiba ‘watunishiana’ misuli
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Italy na England watunishiana misuli
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Chadema, Polisi watunishiana misuli.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Paulo-14April2015.jpg)
Maandamano hayo yameandaliwa kwa ajili ya kushinikiza kutolewa kwa taarifa za matumizi ya Sh. milioni 720 za mradi wa ujenzi wa stendi ya mabasi ya Msamvu.
Wiki iliyopita Chadema kupitia kwa Mwenyekiti wake wa Wilaya ya Morogoro, James Mkude, kilitangaza kufanya maandamano hayo hadi katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pYHQGUKNDk/VPrgKiNrjiI/AAAAAAADQsI/TUnxBKHVLos/s72-c/turuka.jpg)
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pYHQGUKNDk/VPrgKiNrjiI/AAAAAAADQsI/TUnxBKHVLos/s1600/turuka.jpg)
-JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA WAZIRI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-kA_glYsMrpQ/VPrfPYrD_xI/AAAAAAADQsA/4Ru-AaDtGN8/s200/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa viwango...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3-FEM5IDPMM/VPiWUpbM7mI/AAAAAAAHH5o/tWEFcqOR250/s72-c/images%2B(2).jpg)
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3-FEM5IDPMM/VPiWUpbM7mI/AAAAAAAHH5o/tWEFcqOR250/s1600/images%2B(2).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-q2-AZbz-53U/VPgpBYCNR-I/AAAAAAAAB3w/1LUdbC4j4HI/s72-c/barafu.jpg)
Mvua ya maafa KAHAMA
Nyumba zaharibiwa, JK atuma rambirambi Watu 40 wapoteza maisha, 85 wajeruhiwa
Hali ya hewa yasema zitanyesha zaidi
Na waandishi wetu, Dar na KahamaWAKATI Watanzania wakiomboleza kifo cha mwanasiasa mahiri, Kapteni mstaafu John Komba, taifa limeingia tena kwenye huzuni na simanzi kutokana na watu 40 kupoteza maisha. Pia, watu wengine 82 wamejeruhiwa vibaya na wengine hali zao ni mbaya huku nyumba, mifugo na mazao, vikiharibiwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kutikisa...
10 years ago
Uhuru NewspaperMwitiko wa serikali kuhusu maafa ya mvua Kahama...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
Kufuatia mvua kubwa zilizonyesha usiku wa tarehe 04 Machi, 2015 Wilayani Kahama mafuriko makubwa yalitokea na kuathiri wakazi wa kata ya Mwakata katika vijiji vya Mwakata, Numbi na Mwaguguma.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA