Mwitiko wa serikali kuhusu maafa ya mvua Kahama...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA WAZIRI MKUU
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
Kufuatia mvua kubwa zilizonyesha usiku wa tarehe 04 Machi, 2015 Wilayani Kahama mafuriko makubwa yalitokea na kuathiri wakazi wa kata ya Mwakata katika vijiji vya Mwakata, Numbi na Mwaguguma. Dk. Florens TurukaKutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-q2-AZbz-53U/VPgpBYCNR-I/AAAAAAAAB3w/1LUdbC4j4HI/s72-c/barafu.jpg)
Mvua ya maafa KAHAMA
Nyumba zaharibiwa, JK atuma rambirambi Watu 40 wapoteza maisha, 85 wajeruhiwa
Hali ya hewa yasema zitanyesha zaidi
Na waandishi wetu, Dar na KahamaWAKATI Watanzania wakiomboleza kifo cha mwanasiasa mahiri, Kapteni mstaafu John Komba, taifa limeingia tena kwenye huzuni na simanzi kutokana na watu 40 kupoteza maisha. Pia, watu wengine 82 wamejeruhiwa vibaya na wengine hali zao ni mbaya huku nyumba, mifugo na mazao, vikiharibiwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kutikisa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AFARIJI WALIOPATWA NA MAAFA YA MVUA YA MAWE KAHAMA LEO
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Rais Kikwete afariji waliopatwa na maafa ya Mvua ya Mawe,Kahama leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuwafariji waathirika wa Mvua ya Mawe,iliyonyesha hivi karibuni katika Kijiji cha Mwakata,Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, leo Machi 12,2015.
Maelfu ya Wakazi wa Kahama wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipokuwa akiwahutubia mara baada ya kutembelea na kujionea athari ya Mvua ya Mawe kwa wananchi wa Kijiji cha Mwakata,Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pYHQGUKNDk/VPrgKiNrjiI/AAAAAAADQsI/TUnxBKHVLos/s72-c/turuka.jpg)
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pYHQGUKNDk/VPrgKiNrjiI/AAAAAAADQsI/TUnxBKHVLos/s1600/turuka.jpg)
-JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA WAZIRI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-kA_glYsMrpQ/VPrfPYrD_xI/AAAAAAADQsA/4Ru-AaDtGN8/s200/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa viwango...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3-FEM5IDPMM/VPiWUpbM7mI/AAAAAAAHH5o/tWEFcqOR250/s72-c/images%2B(2).jpg)
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3-FEM5IDPMM/VPiWUpbM7mI/AAAAAAAHH5o/tWEFcqOR250/s1600/images%2B(2).jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Mar
MAAFA YA MAFURIKO KAHAMA: DC, Mwenyekiti CCM watunishiana misuli
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mgeja-march7-2015.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja, jana alimkemea mbele ya waathirika wa mvua ya mawe na upepo, Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, kwa kushindwa kuwajibika na kuwasababishia watu hao kukosa chakula.
Zaidi ya waathirika 250 waliopata hifadhi katika Shule ya Msingi Mwakata wilayani hapa, walishinda njaa licha ya chakula cha msaada kuwamo ndani ya darasa, lakini walishindwa kupewa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mvua yaleta maafa
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mvua yaleta maafa Msumbiji