Chadema, Polisi watunishiana misuli.
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limeyapiga marufuku maandamano ya wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) yaliyopangwa kufanyika leo, huku chama hicho kikisema yako pale pale.
Maandamano hayo yameandaliwa kwa ajili ya kushinikiza kutolewa kwa taarifa za matumizi ya Sh. milioni 720 za mradi wa ujenzi wa stendi ya mabasi ya Msamvu.
Wiki iliyopita Chadema kupitia kwa Mwenyekiti wake wa Wilaya ya Morogoro, James Mkude, kilitangaza kufanya maandamano hayo hadi katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Bella, Alikiba ‘watunishiana’ misuli
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Italy na England watunishiana misuli
10 years ago
Vijimambo07 Mar
MAAFA YA MAFURIKO KAHAMA: DC, Mwenyekiti CCM watunishiana misuli
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mgeja-march7-2015.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja, jana alimkemea mbele ya waathirika wa mvua ya mawe na upepo, Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, kwa kushindwa kuwajibika na kuwasababishia watu hao kukosa chakula.
Zaidi ya waathirika 250 waliopata hifadhi katika Shule ya Msingi Mwakata wilayani hapa, walishinda njaa licha ya chakula cha msaada kuwamo ndani ya darasa, lakini walishindwa kupewa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s72-c/zitto-kabwe-11.jpg)
Zitto aitunishia misuli CHADEMA
Ofisi ya Bunge, NEC zaikana CHADEMADk. Kitilla: Upinzani unaua demokrasia
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hatambui kufukuzwa uanachama wala ubunge wake na kwamba, ataendelea na majukumu ya kuwatumikia wananchi wake kama kawaida.
![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s1600/zitto-kabwe-11.jpg)
Hata hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Bunge, zimesema hazijapokea barua wala taarifa kutoka CHADEMA za kumvua uanachama mbunge huyo.
Aidha, baadhi ya wanasiasa akiwemo Profesa Kitila Mkumbo, wameponda uamuzi unaofanywa...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
10 years ago
Habarileo11 Dec
Polisi yaishangaa Chadema
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limekanusha taarifa za kutekwa kwa msafara wa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wanachama wake wa Kanda ya Ziwa. Jeshi hilo limesisitiza hakuna tukio hilo na kuwa ni uzushi.
10 years ago
Mtanzania17 Aug
Polisi kumulika Chadema
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA ELIZABETH MJATTA
JESHI la Polisi limetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina dhidi ya viongozi wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliotajwa na kada wa zamani wa chama hicho, Habibu Mchange, kujihusisha kupanga na kutekeleza njama zenye mwelekeo wa ugaidi.
Limesema tuhuma zilizotolewa na Mchange zimelishtua, hivyo zinapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa hali ya juu, unaohusisha mwenendo wa uchunguzi wenye tahadhari wa makosa ya...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Chadema sasa wawageukia polisi
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Polisi waache kuinyanyasa CHADEMA
MOJA ya habari zilizomo kwenye Gazeti hili leo, zinasema kuwa jeshi Polisi wilayani Kyerwa limewatawanya kwa mabomu ya machozi, wananchi waliojitokeza kumlaki Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake wa...