Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto aitunishia misuli CHADEMA



Ofisi ya Bunge, NEC zaikana CHADEMADk. Kitilla: Upinzani unaua demokrasia
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hatambui kufukuzwa uanachama wala ubunge wake na kwamba, ataendelea na majukumu ya kuwatumikia wananchi wake kama kawaida.

Hata hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Bunge, zimesema hazijapokea barua wala taarifa kutoka CHADEMA za kumvua uanachama mbunge huyo.
Aidha, baadhi ya wanasiasa akiwemo Profesa Kitila Mkumbo, wameponda uamuzi unaofanywa...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Chadema, Polisi watunishiana misuli.

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limeyapiga marufuku maandamano ya wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) yaliyopangwa kufanyika leo, huku chama hicho kikisema yako pale pale.

Maandamano hayo yameandaliwa kwa ajili ya kushinikiza kutolewa kwa taarifa za matumizi ya Sh. milioni 720 za mradi wa ujenzi wa stendi ya mabasi ya Msamvu.

Wiki iliyopita Chadema kupitia kwa Mwenyekiti wake wa Wilaya ya Morogoro, James Mkude, kilitangaza kufanya maandamano hayo hadi katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli

Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malinzi aitunishia msuli Bodi ya Ligi

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema kuwa Bodi ya Ligi haina mamlaka ya kupinga maamuzi yeyote ya kamati ya utendaji ya TFF, chombo pekee chenye uwezo wa kupinga maamuzi hayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto aibuka CHADEMA

WAKATI mashabiki na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakihoji uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumvua nafasi zote za uongozi Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,...

 

11 years ago

GPL

ZITTO AICHAKAZA CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe akiwa ndani ya Mahakama Kuu akisubiri hukumu ya kesi yake leo. Mwanasheria wa Chadema, Peter Kibatara (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa chama hicho, Tundu Lissu ndani ya Mahakama Kuu tayari kusikiliza hukumu ya Zitto.…

 

10 years ago

Mwananchi

ZItto: Sitaki kulumbana na Chadema

Kiongozi wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kulumbana na viongozi wa chama chake cha zamani cha Chadema kwa kuwa anachofanya sasa ni kutafuta wanachama wa chama chake kipya.

 

10 years ago

IPPmedia

Zitto loses case against Chadema


IPPmedia
Zitto loses case against Chadema
IPPmedia
The High Court in Dar es Salaam yesterday ruled in favour of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) after it threw out a case filed by the party's former Deputy Secretary General, Zitto Kabwe against Chadema Board of Trustees and the Secretary ...
Zitto loses court battle, axed from ChademaDaily News

all 2

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto kung’oka CHADEMA

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), inadaiwa yupo katika hatua za mwisho kujiengua ndani ya chama hicho alichojijengea sifa kubwa Kwa mujibu wa watu walio karibu na Zitto, wamelidokeza...

 

11 years ago

Habarileo

Msajili awaonya Chadema, Zitto

 Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis MutungiMGOGORO wa uongozi unaoendelea ndani ya Chadema, umemlazimisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kukemea na kutaka pande zinazopingana kuzuia wafuasi kujihusisha na vurugu na uvunjifu wa amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani