Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZItto: Sitaki kulumbana na Chadema

Kiongozi wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kulumbana na viongozi wa chama chake cha zamani cha Chadema kwa kuwa anachofanya sasa ni kutafuta wanachama wa chama chake kipya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto aibuka CHADEMA

WAKATI mashabiki na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakihoji uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumvua nafasi zote za uongozi Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,...

 

11 years ago

GPL

ZITTO AICHAKAZA CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe akiwa ndani ya Mahakama Kuu akisubiri hukumu ya kesi yake leo. Mwanasheria wa Chadema, Peter Kibatara (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa chama hicho, Tundu Lissu ndani ya Mahakama Kuu tayari kusikiliza hukumu ya Zitto.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wamlilia Mama Zitto

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kupokea kwa majonzi makubwa msiba wa mjumbe wao wa Kamati Kuu ya Taifa, Shida Salum ambaye aliaga dunia jana jijini Dar es Salaam....

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema wamtimua rasmi Zitto

zitto kutimuliwaNa Waandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemvua rasmi uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Hatua hiyo ya Chadema imekuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupa kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi ya Bodi ya Udhamini ya chama hicho na Katibu wake, Dk. Willibrod Slaa.
Kesi hiyo ilitupwa jana na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za mapingamizi matano yaliyowasilishwa na mawakili wa Chadema.
Baada ya kutolewa kwa uamuzi huo...

 

11 years ago

GPL

MASKINI ZITTO KABWE CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitashughulikia rufaa iliyokatwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwa Baraza Kuu kupinga uamuzi wa Kamati Kuu (CC) wa kumvua nyadhifa zake katika chama, hadi hapo itakapopitia utetezi wake na kuamua hatima ya uanachama wake katika chama hicho. Pia kimethibitisha kupokea utetezi dhidi ya mashitaka 11 yanayohusisha usaliti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwisho wa Zitto CHADEMA leo?

HATIMA ya safari ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe huenda ikaanza kuonekana leo pale Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi katika...

 

10 years ago

IPPmedia

Zitto loses case against Chadema


IPPmedia
Zitto loses case against Chadema
IPPmedia
The High Court in Dar es Salaam yesterday ruled in favour of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) after it threw out a case filed by the party's former Deputy Secretary General, Zitto Kabwe against Chadema Board of Trustees and the Secretary ...
Zitto loses court battle, axed from ChademaDaily News

all 2

 

11 years ago

Habarileo

Zitto akomalia demokrasia Chadema

Kabwe ZittoMBUNGE wa jimbo la Kigoma Kaskazini mkoani Kigoma, Kabwe Zitto amesema kuwa ataendelea kupigania haki yake ya kidemokrasia na uwajibikaji ndani ya chama chake hadi dakika za mwisho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani