Mwisho wa Zitto CHADEMA leo?
HATIMA ya safari ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe huenda ikaanza kuonekana leo pale Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Fomu CHADEMA mwisho leo
IKIWA leo zoezi la kuchukua na kurejesha fomu za kugombea nafasi za juu za taifa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wagombea wa nafasi za mabaraza na chama hicho...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Ulinzi uimarishwe kesi ya Zitto, CHADEMA leo
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi wa kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Kesi ya Zitto dhidi ya Chadema kutajwa leo Mahakama Kuu Dar
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s72-c/mbowe.jpg)
MSUMARI WA MWISHO KWENYE JENEZA WA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE KUHUSU LOWASA KUHAMIA CHADEMA LIVE!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s640/mbowe.jpg)
"Haukuwa uamuzi rahisi.. Kamati Kuu ilifanya utafiti kwa vikao vingi na mashauriano. Tafiti zilituambia kuwa Edward Lowassa akipeperusha bendera ya Chadema/UKAWA,ndoto ya mabadiliko makubwa nchini itatimia. Kwa Kauli moja, Kamati Kuu iliridhia Edward Lowassa awe mgombea kwa Chadema na baadae tukawauliza wenzetu wa UKAWA kama wanakubali ama kukataa. Wajumbe wote akiwemo Katibu Mkuu Dr W Slaa waliridhia... baadae kuna watu labda wakamshauri vingine... " - Freeman Mbowe.. Mwenyekiti Taifa wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Je, ni mwanzo wa mwisho wa Zitto?
YAMEISHAANDIKWA mengi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe. Kitu kimoja tu hakijaandikwa. Nacho ni kuandika tanzia yake...
10 years ago
Vijimambo20 Mar
Zitto: Mwisho ama mwanzo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-20March2015.jpg)
Baadaye Zitto alikwenda bungeni katika kikao cha jioni kwa ajili ya kuwaaga wabunge wenzake na kuwaeleza sababu za uamuazi wake.
Hata hivyo, kabla ya kuwasili bungeni akisubiri kupewa fursa ya kuwaaga wabunge, aliwaeleza waandishi wa habari kwamba Spika wa Bunge, Anne Makinda amemzuia kuchukua uamuzi huo na kwamba yeye (Zitto) alikuwa akiendelea kumshawishi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--DSnfuTV6yb0QoLFEshf4CbQ6kxkLxnMcImTXT6RBExz-RbukYHGTCgHcQJt8eqPeiEinyQ2y*3gjgeAHWiD0K/06ZITTO5.jpg?width=650)
ZITTO AICHAKAZA CHADEMA
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Zitto aibuka CHADEMA
WAKATI mashabiki na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakihoji uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumvua nafasi zote za uongozi Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,...